WAZIRI MWANDAMIZI WA MAMBO YA NJE NA NDANI WA SINGAPORE ZIARANI NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yake na Waziri Mwandamizi anayeshughulikia Mambo ya Nje na Ndani wa Jamhuri ya Singapore, Mhe. Masagos Zulkifli ambaye yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tano. Katika mazungumzo yao walisisitiza kuimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ikiwemo utalii, uchukuzi na uwekezaji.
Mhe. Zulkifli naye akizungumza wakati wa mkutano wake na Mhe. Dkt....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZQkfk2xGvlU/U5LSE6GKskI/AAAAAAAFoSI/IDiDgM5nte8/s72-c/l3.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MWANDAMIZI WA MAMBO YA NDANI NA NJE WA SINGAPORE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZQkfk2xGvlU/U5LSE6GKskI/AAAAAAAFoSI/IDiDgM5nte8/s1600/l3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mPuH3VUBRZI/U5LSEYtA3mI/AAAAAAAFoSM/nUPOoWGRiGM/s1600/l4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vN4U2jj38W0/U5LSHPjRQTI/AAAAAAAFoSY/4BDnPrAl6c4/s1600/l5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1kEXsbJDY5s/U_8FMZq0jEI/AAAAAAAGKOU/ZR4X29IUFAw/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ziarani nchini Singapore
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kEXsbJDY5s/U_8FMZq0jEI/AAAAAAAGKOU/ZR4X29IUFAw/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OwZ0wfQF7sg/U_8FMJ9lrgI/AAAAAAAGKOI/2wL3FNYqXHg/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Michuzi30 May
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ziarani nchini
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA VIETNAM ZIARANI NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akutana na Naibu Waziri Mwandamizi wa Mambo ya Nje wa Japan
![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nj9zPiy7qNs/Uu0kGBhTHxI/AAAAAAAFKHU/T1gx9tEuhQ8/s1600/unnamed+(65).jpg)
10 years ago
Michuzi17 Feb
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI NA UJUMBE WAKE ZIARANI NCHINI SINGAPORE
![luk1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/luk1.png)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-O58dy_NHEAE/UwHPj6U7HjI/AAAAAAAFNgM/90pupwWCaOc/s72-c/unnamed+(4).jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE ZIARANI NCHINI UFARANSA
![](http://1.bp.blogspot.com/-O58dy_NHEAE/UwHPj6U7HjI/AAAAAAAFNgM/90pupwWCaOc/s1600/unnamed+(4).jpg)
Mwandishi Wetu, Paris Ufaransa.
Kamati ya Bunge ya Masuala ya Mambo ya Nje imemaliza ziara ya siku tatu nchini Ufaransa na kuridhishwa na...
9 years ago
MichuziUJUMBE WA UBALOZI WA CHINA NCHINI WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FduSM5lH_cc/XpVeTDXIl8I/AAAAAAALm5s/w4uZZJezrrQIM3Vk5ukk_uoJ1_g0-et4wCLcBGAsYHQ/s72-c/191a6039-0f00-4777-9092-038abb5c32bb.jpg)
NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE NCHINI CHINA AFAFANUA SABABU ZA KUBAGULIWA KWA BAADHI YA WAAFRIKA NCHINI HUMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FduSM5lH_cc/XpVeTDXIl8I/AAAAAAALm5s/w4uZZJezrrQIM3Vk5ukk_uoJ1_g0-et4wCLcBGAsYHQ/s640/191a6039-0f00-4777-9092-038abb5c32bb.jpg)
Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China China Mhe. CHEN Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Mataifa ya Afrika katika Mji wa Guangzhou uliopo katika Jimbo la Guangdong.
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-cDC1pb5ks/XpVeTM8xfsI/AAAAAAALm50/Lzu3hs21ETMjeOR55aXw8AM8eNPzgG-UACLcBGAsYHQ/s640/2f8b5439-e138-480c-88d0-0ad007853c88.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WBCxZTx3zKE/XpVeTM16hiI/AAAAAAALm5w/1UeFe2itOiQjrSRN9dvaEFlJ_Kafz8l-wCLcBGAsYHQ/s640/76c2b5dd-416e-4c0c-abc8-da2b38fae26f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-y_PMvV4ESmA/XpVeT48EDdI/AAAAAAALm54/zxlsRrofK4wzQ7k5h1Xd8zAG2dLBgXxowCLcBGAsYHQ/s640/bd298759-d2b5-490c-81fc-897af9434c22.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
NAIBU Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa China Chen Xiaoding amekutana na mabalozi wa nchi za Afrika akiwemo balozi wa Tanzania nchini humo Mbelwa Kairuki na kufafanua taarifa na changamoto...