MH. MEMBE ZIARANI NCHINI URUSI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PEVxTWean-c/VLZPZr6RHdI/AAAAAAAG9UE/3XAxNgl-Beg/s72-c/zimbabwe_SADC-bernard-membe-vert130802_300_420_100.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb) ameondoka nchini tarehe 13 Januari 2015 kwenda Urusi kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kwa mwaliko wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Mhe. Sergey Lavrov.Ziara hiyo inalenga kuimarisha na kupanua ushirikiano kati ya Tanzania na Urusi.
Mhe. Membe anatarajiwa kutumiafursa hiyo kuhimiza ushirikiano wa kiuchumi na Urusi, hususan katika maeneo ya biashara, uwekezaji na ubadilishanaji wa teknolojia. Tanzania inaweza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3a6E_SqR4ds/VS9jyDYo74I/AAAAAAAHRco/myuJwaiP1-8/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Waziri Membe ziarani nchini Kuweit
![](http://2.bp.blogspot.com/-3a6E_SqR4ds/VS9jyDYo74I/AAAAAAAHRco/myuJwaiP1-8/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga4hvwu3-Ik/VS9jyTSdG-I/AAAAAAAHRcs/n5pd29vBQEE/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Urusi
10 years ago
MichuziWaziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Mabalozi Wateule wa Urusi na Algeria
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ihIxMDG95c/U9YxIJZsqXI/AAAAAAACmZc/xGnFPlnhcUY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TZ NCHINI URUSI, NA WA UJERUMAN NCHINI TZ NA KUMKARIBISHA MPYA WA UJERUMAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ihIxMDG95c/U9YxIJZsqXI/AAAAAAACmZc/xGnFPlnhcUY/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sSepww3pbMc/U9YxMYWjFxI/AAAAAAACmZk/jb6uvbQ07pA/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNQoXGR24Zg/U9Y4emYBfeI/AAAAAAAF7WA/4Bdh1EcaYVY/s72-c/unnamed+(11).jpg)
DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI URUSI, AMKARIBISHA BALOZI MPYA WA UJERUMAN NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNQoXGR24Zg/U9Y4emYBfeI/AAAAAAAF7WA/4Bdh1EcaYVY/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FAB2Xd7mm20/U9Y4ehAGwQI/AAAAAAAF7V4/ooixvYJx6UI/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s72-c/New%2BPicture%2B(2).bmp)
RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s1600/New%2BPicture%2B(2).bmp)
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Wbnbk1QweS0/UuzFCHdiw5I/AAAAAAAFKEE/A-AhxRiWCHE/s72-c/unnamed+(47).jpg)
DKT. SHEIN ZIARANI NCHINI INDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wbnbk1QweS0/UuzFCHdiw5I/AAAAAAAFKEE/A-AhxRiWCHE/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YGb_ECHoglg/UuzFCfPLKeI/AAAAAAAFKEQ/BxR2UJYY2OM/s1600/unnamed+(48).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h7Ro3K4Y_JY/U-SOThiJI2I/AAAAAAAF934/eru5HRiu-4A/s72-c/IMG-20140807-WA0009.jpg)
Waziri wa Habari ziarani nchini China
Katika ziara hiyo ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga, Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw. Clement Mshana na Mkurugenzi wa Utangazaji TCRA Bwana Habbi Gunze.
![](http://2.bp.blogspot.com/-h7Ro3K4Y_JY/U-SOThiJI2I/AAAAAAAF934/eru5HRiu-4A/s1600/IMG-20140807-WA0009.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2w1oM9jocEQ/U-SOUd7YsiI/AAAAAAAF938/0d1inlEUanE/s1600/IMG-20140807-WA0010.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-94JiXaMywSM/U3zJS4yZsQI/AAAAAAAFkMk/R4gBk_4rMvk/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Waziri Mwandosya ziarani nchini Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-94JiXaMywSM/U3zJS4yZsQI/AAAAAAAFkMk/R4gBk_4rMvk/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--SB0Hamd7T0/U3zJsXHOHsI/AAAAAAAFkMs/fDHOTvZez0o/s1600/unnamed+(14).jpg)