Waathirika wa mafuriko waomba msaada
Wananchi wa Kata ya Arusha chini, Wilaya ya Moshi wamewaomba viongozi wa Serikali kuwapatia msaada wa chakula na mavazi kutokana na vitu vyao kusombwa na maji ya mvua inayoendelea kunyesha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV07 Jan
Vijana waathirika dawa za kulevya Arusha waomba msaada
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Makundi ya vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi ambao wameathirika na dawa za kulevya jijini Arusha yameiomba Serikali na wadau wengine wawasaidie kuwapatia matibabu ya afya zao.
Hatua hii itawawezesha kuondokana na maradhi nyemelezi ambayo yanawasababishia vifo baada ya kinga za miili yao kudhoofika.
comprar kamagra baratoKatika zoezi la kuyashawishi makundi ya vijana yaweze kuondoka mitaani na kwenda kuishi kwenye vituo rasmi ili kupatiwa elimu...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Walioathiriwa na mafuriko Kibondemaji waomba msaada
ZAIDI ya wakazi 27 wa Mtaa wa Kibondemaji ‘A’, Kata ya Mianzini, wilayani Temeke ambao nyumba zao zimeathiriwa na mafuriko wamewaomba viongozi wa wilaya kufika, kujionea jinsi watakavyowasaidia. Akizungumza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VU_eQxL9jKg/Xky6h7K7zCI/AAAAAAALeLs/YP-9mUIycpsIcVx1gF4IsIGkdBpBByRBgCLcBGAsYHQ/s72-c/ds.jpg)
Waathirika wa mafuriko mkoani Lindi wapata msaada wa thamani wa Sh.Milioni 30
Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya China inayofanya kazi nchini (Over Seas Chinese Services Center) imetoa msaada kwa Wananchi waliopata maafa ya mafuriko mkoani Lindi.
Msaada huo umekabidhiwa kwa Chama cha Msalaba Mwekwendu Tanzania Red Cross wenye thamani ya sh.milioni 30.Akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa akikabidhi msaada huo Mkurugenzi wa Taasisi ya China Aston Yi amesema kuwa Tanzania ni China ni familia moja hivyo wanajibu wa kutoa msaada...
11 years ago
MichuziWAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA - MKUU WA WILAYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s72-c/E86A7121%2B(800x533).jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI HAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Gwe-M3YdxA/VVCzti949iI/AAAAAAAAPRg/f6cwirUgegI/s640/E86A7121%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOY994MG_L0/VVCzunUSCmI/AAAAAAAAPRo/mQOSauN1OIo/s640/E86A7134%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lyl8c2TtWIs/VVCzuGnMiNI/AAAAAAAAPRs/Nmvigz3gGcg/s640/E86A7138%2B(800x450).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziUbalozi wa China watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko mkaoni Morogoro
11 years ago
GPLMKUU WA WILAYA KYELA: WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUGHE PWANI WATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI
Baadhi ya wananchi Wilayani Rufiji Mkoa wa Pwani wamekosa makazi ya kuishi kutokana na nyumba zao pamoja na maduka kuzingirwa na maji ikiwemo wengine kukumbwa na changamoto ya mazao yao mbali mbali zaidi ya hekta 4000 kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha maafa hayo ambayo yamepelekea wananchi kuishi katika mazingira magumu hivyo kupelekea kuishi katika mazingira magumu.
Hayo yalibainishwa na wananchi hao wakati wa ziara ambayo...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...