Wassira: Benki ya kilimo itaanza karibuni
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema Benki ya Kilimo itaanza kazi wakati wowote kuanzia sasa, ili kuwakomboa wakulima. Wassira alitoa kauli hiyo juzi wakati akifanya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo29 Jan
Karibuni wote Jumapili hii ya Februari 1, 2015 — Ibada Itaanza Saa kumi kamili 4:00EST
Karibuni wote Jumapili hii ya Februari 1, 2015 tumwabudu Mungu wetu na kusikiliza neno lake kwa lugha yetu ya Kiswahili. Kwa wale washabiki wa "Super Bowl" karibu sana, muda utazingatiwa. Mbarikiwe!www.iykcolumbus.org
![IYK Poster Feb 1 2015](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/01/IYK-Poster-Feb-1-2015.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pQH5_2Dlgdo/VLVI9ZjqtwI/AAAAAAAAAmU/9Uqc05JqlRA/s72-c/IYK_Kusifu_Kuabudu.jpg)
Karibuni Ibada ya Kuabudu na Kusifu - Jumapili Januari 18, 2015 Ibada itaanza saa kumi kamili 4:00pm (EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pQH5_2Dlgdo/VLVI9ZjqtwI/AAAAAAAAAmU/9Uqc05JqlRA/s1600/IYK_Kusifu_Kuabudu.jpg)
10 years ago
Habarileo31 May
Wassira ataka wakulima kuchangamkia benki yao
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Stephen Wassira, amewataka wakulima na wadau wa sekta ya kilimo cha mazao ya aina mbalimbali ikiwemo kahawa kuanza kujipanga kutumia Benki ya Kilimo kwa kuingia mikataba ili waweze kupata mikopo kwa ajili ya kupata pembejeo na vifaa vya kilimo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3a417g2wFyw/VMywc-Ek_yI/AAAAAAAHAf4/nRPrFqscG4A/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rBtvKRurUGI/VMywoulaVMI/AAAAAAAHAgU/rxnhJgCeMmg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
9 years ago
MichuziMfumo wa kisasa wa kibenki kuanza kufungwa Benki ya Walimu hivi karibuni
10 years ago
Habarileo06 Aug
JK kuzindua benki ya kilimo
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuzindua rasmi benki ya kwanza ya Maendeleo ya Kilimo nchini kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam kesho.
11 years ago
Habarileo26 Jan
Tanzania yasifiwa kwa Benki ya Kilimo
PROFESA wa Uchumi anayeheshimika duniani amesifu uamuzi wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuanzisha Benki ya Kilimo. Mtaalamu huyo Profesa Jeffrey Sachs amesema kwa karibu muongo wa jitihada za dunia kuboresha kilimo katika Afrika, hakuna jambo zuri zaidi limefanyika kama uamuzi wa kuanzisha benki hiyo.
11 years ago
Habarileo15 Jun
Benki, Suma JKT kuboresha kilimo
BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB) kwa kushirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa kupitia SUMA JKT, wamesaini makubaliano ya kufanya mageuzi makubwa ya kilimo cha biashara cha umwagiliaji kwenye ardhi inayomilikiwa na jeshi hilo.