Mwinyi ataka Lowassa, Mengi waungwe mkono
Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi ameitaka jamii ya wafugaji wa Kimasai kuunga mkono jitihada za waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi kuikomboa kielimu jamii hiyo kwa kuhakikisha watoto wa kike wanakwenda shule badala ya kuolewa mapema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
‘Wajasiriamali waungwe mkono’
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
NHC: Vijana Kinondoni waungwe mkono
SHIRIKA la Nyumba nchini (NHC), limetaka wakazi wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake kununua matofali yanayofungamana yatakayokuwa yakitengenezwa na vijana wa manispaa hiyo. Wito huo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s72-c/5.jpg)
KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-u3OvjyRbCxE/VapEksThWbI/AAAAAAAAWTM/qz-FPT_yu9s/s640/4U.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Mzee Mwinyi, Mkapa, Dk Mengi, Dewji, tunasubiri vitabu vyenu
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mengi ataka wanawake kujiamini
MWENYEKITI wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Reginald Mengi, amewataka wanawake kujiamini na kutambua kuwa wanaweza kuleta mabadiliko katika nchi hasa ya kiuchumi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika...
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mwinyi ataka sayansi ifundishwe Kiswahili
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka walimu wa shule za sekondari nchini kutoogopa kufundisha wanafunzi wao masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili, kwa kuwa inawezekana na wataelewa.
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Cannavaro ataka mabao mengi Yanga
10 years ago
Habarileo24 Jun
Mwinyi ataka maboresho utumishi wa umma
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka watumishi wa umma kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na washiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, ili kuwa na utumishi uliotukuka kwa ustawi wa Taifa.
9 years ago
Habarileo23 Nov
Mwinyi ataka Watanzania kuchangamkia masomo KIU
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa watanzania kujiunga na chuo hicho ili kunufaika na elimu yake.