NHC: Vijana Kinondoni waungwe mkono
SHIRIKA la Nyumba nchini (NHC), limetaka wakazi wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake kununua matofali yanayofungamana yatakayokuwa yakitengenezwa na vijana wa manispaa hiyo. Wito huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
‘Wajasiriamali waungwe mkono’
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwinyi ataka Lowassa, Mengi waungwe mkono
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s72-c/5.jpg)
KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-u3OvjyRbCxE/VapEksThWbI/AAAAAAAAWTM/qz-FPT_yu9s/s640/4U.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
NHC kuuza nyumba za Kinondoni mil. 253/-
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limezindua mauzo ya nyumba nyingine 118 zilizopo eneo la Hananasif, Mtaa wa Wakulima, Kinondoni, Dar es Salaam, ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa ujenzi...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
NHC yawakumbuka vijana Muheza
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limekabidhi mashine nne za kufyatulia matofali kwa vijana 40 wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza ili kusaidia wajasiliamali wadogo kupitia vikundi. Akikabidhi mashine hizo...
10 years ago
Habarileo05 Oct
NHC kunufaisha vijana 240 Tabora
VIJANA 240 mkoani Tabora watanufaika na sera ya shirika la nyumba la Taifa kwa kupewa mafunzo , mtaji na hatimaye kujiajiri wenyewe kupitia vikundi vya uzalishaji mali.
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
NHC yaleta ajira kwa vijana kupitia matofali
MALALAMIKO ya ukosefu wa ajira yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku huku lawama hizo zikielekezwa serikalini. Hata hivyo serikali kupitia baadhi ya taasisi zake imekuwa ikitafuta kila mbinu kutatua tatizo hilo...
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lawakomboa vijana Mkoani Pwani
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Pwani Pauline Mrango akisoma Hotuba ya makabidhiano ya mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana katika halmashauri zote za mkoa wa Pwani.
Shirika la Nyumba la Taifa limetoa mashine hizo zenye gharama ya zaidi ya shilingi milioni 12 pamoja na mafunzo kwa vijana ya wiki mbili ambapo baada ya kumaliza mafunzo Shirika litatoa msaada wa shilingi laki tano kwa kila kikundi kama mtaji , yMakabidhiano hayo yalifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita...