Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Teach science in Kiswahili, former president Mwinyi says.


IPPmedia
Teach science in Kiswahili, former president Mwinyi says.
IPPmedia
Former president Ali Hassan Mwinyi yesterday called for Kiswahili to be adopted in schools, especially in teaching of science subjects. “Education plays important role in economic development and there is a need to prioritise Kiswahili in the teaching ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

To teach or not to teach in Kiswahili


To teach or not to teach in Kiswahili
IPPmedia
The debate on whether to teach or not to teach our primary and secondary school students in Kiswahili has surely been rekindled, following the latest development where Dar es Salaam's Kinondoni district authorities recently got the approval of the Ministry of ...

 

11 years ago

Michuzi

Sixty-one New American Peace Corps Volunteers to Teach Math, Science and English

On September 17, 2014, U.S. Ambassador Mark Childress swore in sixty-one Peace Corps Volunteers to their two years of service in Tanzania.
The American volunteers will work as Math, Science and English secondary school teachers, and as teacher trainers in twenty-nine districts throughout Tanzania. The swearing-in ceremony took place at the Ambassador’s residence in Dar es Salaam, and was attended by Guest of Honor Shukuru Kawambwa, Minister at the Ministry of Education and...

 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ataka sayansi ifundishwe Kiswahili

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka walimu wa shule za sekondari nchini kutoogopa kufundisha wanafunzi wao masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili, kwa kuwa inawezekana na wataelewa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’

Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.

 

10 years ago

Michuzi

ALHAJ MWINYI: FUNDISHENI SAYANSI KWA KISWAHILI

 Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati akifungua Maonyesho ya 5 ya Sayansi kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi Mtendaji wa Young Scientists Tanzania (YST) Dk. Gosbert Kamugisha akimtambulisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kwa Balozi wa Kenya nchini Tanzania Chirau Ali Mwakwere kabla ya kufungua maonyesho hayo mwishoni mwa wiki.
Na Daniel Mbega wa brotherdanny.comRAIS mstaafu wa awamu ya pili,...

 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili

RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC

Ifuatayo ni hotuba ya Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ali Hassan Mwinyi alipohutubia mkutano wa nne wa Chama cha Ukuzaji Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) uliofanyika tarehe 23 Aprili 2015 katika Chuo Kikuu Cha Howard jijini Washington DC
KARIBU


 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi kuhusu KISWAHILI

Kiswahili inaaminika kuwa lugha asili ya Afrika inayozungumzwa na watu wengi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara.
Ni lugha ya taifa kwa nchi za Kenya na Tanzania na pia yazungumzwa kwenye nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Burundi, Rwanda, Uganda, Visiwa vya Comoro na nchi nyingine
Ikizungumzwa na watu wanaokadiriwa kufikia milioni 100 hivi sasa, Kiswahili ndio lugha pekee ya kiAfrika iliyo miongoni mwa lugha rasmi za Umoja wa Afrika.
Ni lugha muhimu katika habari, shule, kazi za...

 

10 years ago

IPPmedia

Former President Mwinyi cautions against mob violence


IPPmedia
Former President Mwinyi cautions against mob violence
IPPmedia
Former President Alhaj Ali Hassan Mwinyi has appealed to the Tanzanian public to desist from taking the law into their hands by engaging in mob violence, commonly referred to as mob justice. He has, instead, stressed the need for people to take suspected ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani