VIJIMAMBO NA DARASA LAKE LA KISWAHILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oZ6uJML4fnM/TcEZiuKKC4I/AAAAAAAAAFA/xfqayZT1gDI/s72-c/pci_slot.jpg)
SCanner -Mdaki
Slot- Upenyu
Computer Virus- Mtaliga
Computer Processor- Kichakato
Monitor- Muwazi
Laptop-Kipakalishi
Tutaendelea wiki ijayo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Nov
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI DARASA LA KISWAHILI DMV
UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV UNAWATAARIFU
KUHUSU UFUNGUZI RASMI WA MADARASA YA LUGHA YA KISWAHILI
Uandikishaji wa shule ya kujifunza lugha ya kiswahili utaanza rasmi tarehe 1/12/2014
Kutakuwa na madarasa mawili kila Jumamosi kuanzia tarehe 10/1/2015 saa 9:00 mchana hadi saa 11:00 Jioni.
Kuandikisha watoto wa miaka 3 hadi 5 wasiliana naBernadeta Kaiza namba (240) 704-5891.Kwa umri wa miaka 6 na kuendelea, hata watu wazima wasiliana na Asha Nyang’anyi namba (301) 793-2833.
...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’
Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV JUMAMOSI MARCH 28, 2015
Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwafundisha kiswahili watoto wa wazazi wa Tanzania wanajifunza kuzungumuza ikiwemo kusoma na kuandika lugha ya kiswahili katika Darasa la kiswahili linaloendelea kila siku ya Jumamosi kuanzia saa 9 alasiri mpaka saa 12 jioni Silver Spring, Maryland na darasa likiwa chini ya Jumuiya ya Watanzania DMV.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/mrC6uF2HbH4/default.jpg)
11 years ago
GPLJANUARY MAKAMBA ATEMBELEA DARASA LA KISWAHILI DMV
Naibu Waziri wa mawasiliano, sayansi na teknologia, Mhe. January Makamba akiongozana na Afisa Ubalozi Mindi Kasiga siku ya Jumamosi Dec 7, 2013 College Park Maryland, siku alipotembelea darasa la Kiswahili DMV.
Mhe. January Makamba akisalimiana na viongozi wa Jumuiya ya Watanzania mara tu alipoingia kwenye darasa hilo Jumamosi Dec 7, 2013 College Park, Maryalnd.…
...
10 years ago
Vijimambo09 Jan
TANGAZO MAALUM: UFUNGUZI RASMI WA DARASA LA KISWAHILI DMV.
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania unapenda kuwatangazia watanzania wote wanaoishi maeneo ya Washington DC, Maryland na Virginia kuhusu Madarasa ya Kiswahili yatakayoanza rasmi tarehe 24 January, 2015.
White Oak Community Recreation Center,1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904 Kuanzia tarehe 24/1/2015 Saa 9 mchana – 11 Jioni kila Jumamosi
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
Kwa maelezo zaidi wasiliana na viongozi wafuatao:
Rais- Iddy Sandaly (301) 613-5165Makamu wa Rais – Harriet...
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI KUANZA JUMAMOSI HII - JAN 24, 2015
I would like to inform you that the first Swahili class will be on Saturday January 24 2015 from 3:00pm - 5:00pm. We will meet at White Oak Community Recreation Center located at 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904. You can call the community center for inclement weather and closures ONLY at (240) 777-6940.
Any question about the Swahili class please call
Iddy - President at (301) 613‑5165Harriet- Vice President (240) 672‑1788Asha -Instructor (301) 793-2833Bernadeta - Vice...
10 years ago
VijimamboMsimu wa pili wa Darasa la Kiswahili waanza rasmi DMV
Awamu ya pili ya Darasa la Kiswahili kwa watoto waishio Washington DC na vitongoji vyake umeanza Jumamosi ya Januari 24, 2015. Rais wa Jumuiya Bw Iddi Sandaly alipata fursa ya kuzungumza nasi kwa ufupi kuhusu darasa hilo.
Karibu umsikilize
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania