Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARASA LA KISWAHILI KUANZA JUMAMOSI HII - JAN 24, 2015


I would like to inform you that the first Swahili class will be on Saturday January 24 2015 from 3:00pm - 5:00pm. We will meet at White Oak Community Recreation Center located at 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904. You can call the community center for inclement weather and closures ONLY at (240) 777-6940. 

Any question about the Swahili class please call
Iddy - President at ‪(301) 613‑5165‬Harriet- Vice President (240) 672‑1788‬Asha -Instructor (301) 793-2833Bernadeta - Vice...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Darasa la Kiswahili DMV. Jumamosi hii na kila jumamosi

Darasa la Kiswahili hapa Washington DC na vitongoji vyake linaratibiwa na Jumuiya ya waTanzania ya hapa DMV
Sasa linafanyika kila Jumamosi kuanzia saa 9 kamili alasiri mpaka saa 11 kamili jioni
Anwani ni...
1700 April Lane,
 Silver Spring, MD 20904
KARIBUNI NYOTE

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV JUMAMOSI MARCH 28, 2015


Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwafundisha kiswahili watoto wa wazazi wa Tanzania wanajifunza kuzungumuza ikiwemo kusoma na kuandika lugha ya kiswahili katika Darasa la kiswahili linaloendelea kila siku ya Jumamosi kuanzia saa 9 alasiri mpaka saa 12 jioni Silver Spring, Maryland na darasa likiwa chini ya Jumuiya ya Watanzania DMV. Watoto wa wazazi wa Kitanzania wakifuatilia somo la Kiswahili. Wanafunzi wa darasa la Kiswahili wakiwa darasani. Mwalimu Asha Nyang'anyi akiwapa somo la lugha ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Onyesho la Coke Studio kuanza Jumamosi wiki hii

Screen Shot 2015-10-06 at 1.23.45 PM

-Wasanii wa Tanzania Ali Kiba,Fid Q na Vanessa kuwasha moto

 Wasanii nguli kutoka Tanzania wataungana na wasanii wengine 27 barani Afrika katika msimu wa tatu wa maonyesho ya  burudani ya muziki maarufu kwa jina la  Coke Studio Afrika ambalo litaanza Jumamosi wiki hii .Onyesho la mwaka huu ni tofauti na yaliyopita kwa kuwa litaendana na mabadiliko yaliyopo katika muziki duniani “Kolabo”na litarushwa na kituo cha televisheni cha Clouds kuanzia saa 12  jioni.

Meneja wa Biashara za Coca-Cola...

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER

Image result for atc metro DMVJUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA WATOTO WOTE KUSHIRIKI SIKU YA WHITE OAK CENTER ; SAA 5:00 ASUBUHU HADI SAA 8:00 MCHANA1700 April Lane, Silver Spring
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE  MINGINE .

KIINGILIO  BUREEEEE        











 

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUHAMIA KANDA YA KATI MKOANI DODOMA, ZOEZI LA KUTAFUTA WASHINDI KUANZA JUMAMOSI YA WIKI HII

Na Josephat Lukaza wa Proin 
Promotions Limited - Mwanza Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza.
Katika Kanda ya Kati  mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya tarehe...

 

9 years ago

Dewji Blog

SHUJAAZ RADIO SHOW NA DJ TEE: Kuanza kuruka hewani Jumamosi hii East Africa Radio

EAR - Online Promo (1)

Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao? Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola. Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote  wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.

“Show yangu itahusika na...

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kiswahili Jumapili hii Aprili 19, 2015 Kuanzia saa kumi kamili

*** Ibada ya pili ya Mwezi - Kusifu na Kuabudu*** ***Mchungaji Kiongozi Ipyana Mwakabonga******www.iykcolumbus.org***

 

10 years ago

Vijimambo

Ibada ya Kiswahili - Kuabudu na Kusifu Jumapili hii 12 Juni 2015 Saa Kumi Kamili jioni

...na Mch. Ipyana Mwakabonga Tembelea Tovuti ya Ibada ya Kiswahili - Ohio  www.iykcolumbus.org

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kiswahili - PASAKA Jumapili hii Aprili 05, 2015 Kuanzia saa kumi kamili

***   ***   *** ***   ***   *** Tembelea tovuti yetu www.iykcolumbus.orgKaribu Ubarikiwe na NENO la Siku kwenye ukurasa wetu wa Facebook (FB) Ibada ya Kiswahili-Columbus, Ohio
Mch. Ipyana Mwakabonga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani