Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AZINDUA AZINDUA MTANDAO WA VIONGOZI WAVAWAKE AFRIKATAWI LA TANAS

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) ambazo zimepiga hatua katika kuwapatia Wanawake nafasi za uongozi na kufikia asilimia 36.7.

Hayo ameyasema leo jijini Dodoma  wakati wa uzinduzi wa Mtandao wa viongozi Wanawake Afrika tawi la Tanzania amesema nchi imekuwa ya 14 katika kuzindua tawi hilo na kesho nchi ya Uganda inatarajia kuzindua hivyo itakuwa nchi ya 15.

Mhe.Samia amesema kuwa kumekuwa na...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Azindua Miradi ya Maendeleo Mkoani Geita leo

MAKAMU wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu, leo Januari 5, 2016 amezindua miradi ya maendeleo katika mkoa wa Geita iliyofadhiliwa na mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) kwa ushirikiano na serikali ya Tanzania.
Mradi mkubwa wa maji wenye thamani ya Tshs 12Billion uliojengwa kwa ushirikiano kati ya Mgodi na serikali ambao utapunguza tatizo la maji safi na salama kwa mkoa wa Geita kwa zaidi ya asilimia 35% umezinduliwa, ambapo kwa mara ya kwanza, wananchi wa Geita wataweza...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI GEITA

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Mganga Mfawidhi wa Hospitali teule ya Mkoa wa Geita, Dkt. Adam Sijaona, wakati alipofanya ziara kwenye wadi ya wagonjwa wa upasuaji ya wanaume, katika Hospitali hiyo iliyojengwa kwa ufadhili wa Kampuni ya Geita Gold Mining (GGM). PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, GEITA.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasalimia baadhi ya wananchi wa Mji wa Geita...

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akutana na Viongozi wa Mtandao wa Ulingo Tanzania (Umoja wa Wanawake Wanasiasa)

03

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam, Nov 26, 2015. (Picha na OMR).

02

3A

Baadhi ya Wanawake Wanaulingo wakimsikiliza Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA UONGOZI WA MTANDAO WA WANAWAKE TANZANIA.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Tanzania (WFT) wakati viongozi hao walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam,leo Nov 24, 2015 kwa mazungumzo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea baadhi ya Vipeperushi na Vitabu vya Mtandano wa Wanawake Tanzania (WFT) kutoka kwa mwenyekiti wa mtandao huo, Prof.Ruth Meena, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika...

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS SAMIA AZINDUA KONGAMANO LA UVCCM WASICHANA UDSM



Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa akimvisha Skafu Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akilipowasuili katika ukumbi wa Urafiki Jijini Dar es salaam leo 16 Febuari 2020 kwa ajili ya...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA DINI WA MKOA WA DODOMA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi wa Kamati ya Mahusiano ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Dodoma, wakati alipokutana nao kwa mazungumzo kwenye Ukumbi wa Hazina Ndogo mjini Dodoma leo Nov 16, 2015. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa (kulia) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mahusiano ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Dodoma, Sheikh Ahmad Said Ahmed. Picha na OMRMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu...

 

10 years ago

Vijimambo

MH SAMIA SULUHU AZINDUA MAONESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

bl4 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Mh. Samia Saluhu (katikati), akizindua maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni, jijini Dar es Salaam leo. (Picha na OMR)bl5Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Mh. Samia Suluhu, akihutubia katika Uzinduzi wa Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukukmbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni,...

 

5 years ago

Michuzi

MAMA SAMIA AZINDUA MTANDAO WA WANAWAKE AFRIKA TAWI LA TANZANIA

Charles James, Michuzi TV

TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kutoa nafasi kwa wanawake kwenye nafasi za uongozi kulinganisha na nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati akizindua mtandao wa wanawake viongozi kwa bara la Afrika tawi la Tanzania (AWLN).

Amesema licha ya Nchi za kiafrika kutoa nafasi ndogo kwa wanawake kwenye ngazi za kimaamuzi lakini serikali nchini imepiga hatua...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS

 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani