MAMA SAMIA AZINDUA MTANDAO WA WANAWAKE AFRIKA TAWI LA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sXAaYSI09-s/XlaYwmjeR9I/AAAAAAALfm0/6SJ-RFYbZWEQ4sl_F9EkW7kQEo_NMNuKwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e4b0a84-eb3a-4ee6-8cf2-f119944a82fe.jpg)
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kutoa nafasi kwa wanawake kwenye nafasi za uongozi kulinganisha na nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati akizindua mtandao wa wanawake viongozi kwa bara la Afrika tawi la Tanzania (AWLN).
Amesema licha ya Nchi za kiafrika kutoa nafasi ndogo kwa wanawake kwenye ngazi za kimaamuzi lakini serikali nchini imepiga hatua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zF-jq8sCuws/XlUUXsc6-xI/AAAAAAALfR4/NFJBzGIv010EK47oGU4M4Fbo__BniR8bgCLcBGAsYHQ/s72-c/e35b3bc0-ebdc-45d2-855c-1a231dc36507.jpg)
MAMA SAMIA KUZINDUA MTANDAO WA WANAWAKE VIONGOZI WA AFRIKA TAWI LA TANZANIA
Charles James, Michuzi TV
MTANDAO wa Viongozi Wanawake wa Afrika (AWLN) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Wanawake UN Women kesho wanatarajia kuzindua tawi lao nchini ambapo mgeni rasmi atakua Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan.
Uzinduzi huo utafanyika jijini Dodoma ambapo utahusisha viongozi 60 wanawake pamoja na wageni walioalikwa wakiwemo watendaji kutoka serikalini, Umoja wa Mataifa, Wajumbe wa kibalozi na Umoja wa Afrika.
Akizungumza leo na wandishi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s72-c/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AZINDUA AZINDUA MTANDAO WA VIONGOZI WAVAWAKE AFRIKATAWI LA TANAS
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s640/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
Hayo ameyasema leo jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Mtandao wa viongozi Wanawake Afrika tawi la Tanzania amesema nchi imekuwa ya 14 katika kuzindua tawi hilo na kesho nchi ya Uganda inatarajia kuzindua hivyo itakuwa nchi ya 15.
Mhe.Samia amesema kuwa kumekuwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xzzilRFogH8/VlRTu1Frl0I/AAAAAAAIIMg/2G-qCp8vs5I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA UONGOZI WA MTANDAO WA WANAWAKE TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xzzilRFogH8/VlRTu1Frl0I/AAAAAAAIIMg/2G-qCp8vs5I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EOoX3j99Q6Y/VlRTwAXFUOI/AAAAAAAIIM0/kOSZywQ3CY4/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akutana na Viongozi wa Mtandao wa Ulingo Tanzania (Umoja wa Wanawake Wanasiasa)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam, Nov 26, 2015. (Picha na OMR).
Baadhi ya Wanawake Wanaulingo wakimsikiliza Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
9 years ago
Michuzi29 Sep
MAMA SAMIA SULUHU-MGOMBEA MWENZA ALIYEPANGA KUWAPIGANIA WANAWAKE
![Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akihutubia wananchi katika moja ya mikutano yake ya kampeni inayoendelea nchini akiinadi ilani ya CCM.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0003.jpg)
MCHUANO wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajia kufanyika Oktoba 25, 2015 unaendelea maeneo mbalimbali ya nchini, huku vyama anuai vilivyofanikiwa kuingia katika ushindani huo wa kisiasa vikinadi ilani na sera zao kwa Watanzania ili kuwashawishi wachaguliwe.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Mama Samia akutana na Wanawake wa UWT, Walemavu na Wajasiriamali mkoa wa Dar kujua changamoto zao
Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan (kushoto), akizungumza katika mkutano uliowakutanisha wanachama wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Wajasiriamali pamoja na wanachama kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye Ulemavu (Shivyawata), baada ya kupokea changamoto zao Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa UWT Taifa, Sophia Simba akizungumza katika mkutano huo.
Mmoja wa viongozi kutoka Shirikisho la Vyama vya Wenye...
9 years ago
VijimamboMAMA SAMIA AKUTANA NA WANAWAKE WA UWT, WALEMAVU NA WAJASIRIAMALI MKOA WA DAR ES SALAAM KUJUA CHANGAMOTO ZAO
5 years ago
CCM BlogMAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIVYORINDIMA KITAIFA MBELE YA MAMA SAMIA WILAYANI BARIADI MKOANI SIMIYU, LEO
Wanawake wakiwa kwenye maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika Kitaifa yakiongozwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , katika Uwanja wa Halmashauri Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu leo....
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tWB7sjNaofE/U0VIj762stI/AAAAAAAFZdQ/sH5EIE5uvhg/s72-c/unnamed+(31).jpg)
mama salma kikwete azindua chama cha umoja wa wanawake wa mbagala
![](http://2.bp.blogspot.com/-tWB7sjNaofE/U0VIj762stI/AAAAAAAFZdQ/sH5EIE5uvhg/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1IfRW2mFTN0/U0VIkghLSXI/AAAAAAAFZdY/5AfztZ0mCaI/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-f28F4JQUn2k/U0VIlPl5HKI/AAAAAAAFZdw/hX-7me2ow1k/s1600/unnamed+(33).jpg)