MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA DINI WA MKOA WA DODOMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-e2zNK3v3cXQ/VknOMuP_giI/AAAAAAADCdw/jaB8WanS1XU/s72-c/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi wa Kamati ya Mahusiano ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Dodoma, wakati alipokutana nao kwa mazungumzo kwenye Ukumbi wa Hazina Ndogo mjini Dodoma leo Nov 16, 2015. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa (kulia) ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mahusiano ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Dodoma, Sheikh Ahmad Said Ahmed. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akutana na Viongozi wa Mtandao wa Ulingo Tanzania (Umoja wa Wanawake Wanasiasa)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam, Nov 26, 2015. (Picha na OMR).
Baadhi ya Wanawake Wanaulingo wakimsikiliza Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AHUDHURIA SHREHE ZA MAULID ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xzzilRFogH8/VlRTu1Frl0I/AAAAAAAIIMg/2G-qCp8vs5I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA UONGOZI WA MTANDAO WA WANAWAKE TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xzzilRFogH8/VlRTu1Frl0I/AAAAAAAIIMg/2G-qCp8vs5I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EOoX3j99Q6Y/VlRTwAXFUOI/AAAAAAAIIM0/kOSZywQ3CY4/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA HARAMBEE YA CCM MKOA WA PWANI
9 years ago
Michuzi14 Nov
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan mgeni rasmi ufunguzi michezo ya shimmuta Arusha
![](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Samia-Suluhu-Hassan.jpg)
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan
Na Woinde Shizza,Arusha
Michuano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma, Taasisi na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMMUTA), yanatarajia kuanza kutimua vumbi wiki ijayo jijini Arusha kwa kushirikisha Mikoa Yote Tanzania.
Katibu mkuu wa SHIMMUTA Award Safari alisema kuwa hadi sasa tayari mikoa kadhaa imethibitisha ushiriki wao ikiwemo wenyeji wa mashindano hayo Mkoa wa Arusha na Mikoa mingine ni Dar es salaam, Dodoma, Morogoro, Mbeya na Tanga. ...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki mazishi ya dada yake Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Kijijini Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokelewana Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete,wakati alipowasili kwenye msiba wa Dada yake na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, jana kijini Msoga Mkoa wa Pwani. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwafariji baadhi ya wanafamilia wa Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, aliyekuwa Dada yake na Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, kijijini...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dKZZs80U6zc/VmrPckEo93I/AAAAAAAILqE/ZNZ7oPOER7k/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MABALOZI WA NORWAY NA MALAWI
Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Makamu wa Rais leo Desemba 11, 2015 amekutana na Balozi wa Norway nchini...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t-TBECI1y70/VnlKXTmljwI/AAAAAAAIN5o/gbDlorOS-Dk/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN, AKUTANA NA MABALOZI WA KUWAIT NA RWANDA OFISINI KWAKE IKULU DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-t-TBECI1y70/VnlKXTmljwI/AAAAAAAIN5o/gbDlorOS-Dk/s640/02.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NNxoHkgWyfA/VnlKbUkyqiI/AAAAAAAIN6E/3gfbYNL12bI/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yVqkCIoDW7Q/VnlKcHjesFI/AAAAAAAIN6Q/xda56tn52Xw/s640/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DTrQxVKO6RA/VmLIsv9MHfI/AAAAAAAIKVo/nDNi5BZmAd0/s72-c/3B.jpg)
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China
![](http://2.bp.blogspot.com/-DTrQxVKO6RA/VmLIsv9MHfI/AAAAAAAIKVo/nDNi5BZmAd0/s640/3B.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan, na Rais Mstaafu wa awamu ya Tano, Dkt. Jakaya Kikwete, wakiangalia moja ya Ndege ya Kivita ya mfano, wakati walipotembelea Mabanda ya maonesho ya Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana. Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo Dec 5, 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-a5ilQqvsi_0/VmLInoeypfI/AAAAAAAIKVI/agFaw1YkwYw/s640/03.jpg)