Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu — Lowassa
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye wakiwapungia wananchi wa mjini Ngombe walipokuwa wakiwasili katika Uwanja wa National Housing mjini humo ulipofanyika mkutano wa kampeni za mgombea huyo jana. […]
The post Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu – Lowassa appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu-Lowassa
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Watoto yatima, ujinga, umasikini na Ukimwi
DESEMBA mwaka 2002, nilitoa mada juu ya Ukimwi, katika Kongomano la kimataifa juu ya Ukimwi, lililofanyikia Arusha. Kwa unyenyekevu mkubwa niliunga mkono matumizi ya kondomu, kama njia mojawapo ya kuzuia...
10 years ago
Mtanzania11 Aug
Lowassa: Serikali ya JK imeongeza umasikini
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameanza kuishambulia Serikali ya awamu ya nne kwa kushindwa kuinua uchumi.
Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi waliofurika Makao Makuu ya Chadema, muda mfupi baada ya kutoka kuchukua fomu ya uteuzi katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Lowassa alisema Rais Jakaya Kikwete, aliyemuita rafiki yake,...
10 years ago
Vijimambo30 Sep
JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi
10 years ago
MichuziViongozi acheni kuuza utajiri na kununua umasikini - Mh. Lowassa
Akifungua semina ya siku mbili ya juu ya maswala ya ardhi kwenye ukumbi wa hoteli ya Emanyata mjini Monduli,Mh. Lowassa amesema shutuma hizo zimekuwa nyingi kwa viongozi hao kwa kuuza utajiri (ardhi) na kununua umasikini.
"Walikuja pale...
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Familia ya mpigania uhuru kwenye lindi la umasikini
11 years ago
Habarileo22 Jul
JK: Taasisi za serikali ziongeze kasi kupunguza umasikini
RAIS Jakaya Kikwete ametaka taasisi za Serikali, kuongeza kasi ya kupunguza umasikini miongoni mwa wananchi, akisisitiza kuwa wananchi wamekaa katika umasikini kwa muda mrefu kupita kiasi.
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wenye uwezo watakiwa kuisaidia Serikali Kupambana Na Umasikini
Watu wenye uwezo wa kifedha wameaswa kujitoa kuisaidia serikali katika kupambana na janga la umasikini nchini ikiwa pamoja na kuwainua kiuchumi baadhi ya wananchi wasiojiweza kimaisha.
Rai hiyo imetolewa katika hafla ya kuwatunuku shahada ya uzamivu baadhi ya watendaji wa serikali pamoja na Baadhi ya watu wanaofanya kazi kiroho iliyofanyika Jijini Mwanza.
Chuo cha Africa Graduate University, makao makuu yake nchini Sierra Leone limejikita mkoani Mwanza Kutunuku vyeti Vya heshima shahada ya...