IMF yavutiwa na uchumi wa Tanzania
SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF) limesema kuwa limevutiwa na kukua kwa uchumi wa Tanzania. Limesema uchumi wa Tanzania unakua kwa asilimia 7 na utaendelea kukua kwa kiwango hicho katika miezi iliyobakia mwaka huu hadi mwakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
IMF: Tanzania iboreshe sera za kukuza uchumi
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limesema uchumi wa nchi zilizopo chini ya jangwa la sahara unazidi kuimarika kwa zaidi ya asilimia tano, huku likiitaka Tanzania kuboresha sera za kukuza uchumi kupitia miradi ya maendeleo.
5 years ago
Michuzi06 Mar
IMF yaridhishwa mwenendo wa ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/1200px-International_Monetary_Fund_logo.svg_.png)
Na Ripota Wetu-Michuzi Blog Jitihada za makusudi za Serikali ya Awamu ya Tano katika kusimamia na kutekeleza sera madhubuti za fedha na uchumi hasa katika kusimamia ukusanyaji wa mapato na matumizi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, pamoja na usimamizi wa Benki, zimeelezwa kuwa ni miongoni mwa vitu vilivyoifanya Tanzania kukua kiuchumi na kunakoisaidia kue ndelea na ukuaji wa kasi katika siku zijazo.
Kwa mujibu wa ripoti ndogo iliyotolewa Jijini Dar es Salaam na wataalam wa Shirika la...
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA FEDHA DUNIANI (IMF) LATOA RIPOTI NDOGO YA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI TANZANIA,BENKI KUU YATOA UFAFANUZI
SHIRIKA la Fedha duniani (IMF) limetoa taarifa ya mwenendo wa ukuaji wa uchumi kwa Tanzania na kwa mujibu wa taarifa hiyo IMF imeelzwa kufurahishwa na ukuaji wa uchumi, kupungua kwa mfumuko wa bei, kutengeneza ajira pamoja na kuongezeka kwa uwekezaji unaofanywa na Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi katika sekta za elimu na afya.
Taarifa hiyo iliyotolewa Machi 05 mwaka huu imeeleza, timu ya IMF wakiongozwa na Enrique Gelbard walitembelea Tanzania kuanzia Februari 20 hadi Machi 04...
Taarifa hiyo iliyotolewa Machi 05 mwaka huu imeeleza, timu ya IMF wakiongozwa na Enrique Gelbard walitembelea Tanzania kuanzia Februari 20 hadi Machi 04...
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Uchumi wa Urusi Matatani-IMF
IMF yasema kiwango cha ukuaji wa uchumi wa Urusikimeshuka sana kufuatia vikwazo vya Marekani na muungano wa Ulaya.
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Uchumi wa zimbabwe unadidimia ;IMF
Shirika la fedha duniani IMF limesema hali ya uchumi nchini Zimbabwe imezidi kudidimia.
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
IMF:Urusi yaingia mdororo wa uchumi
Shirika la Fedha Duniani limesema Urusi kwa sasa imeingia katika kipindi cha "mdororo wa uchumi"
9 years ago
TheCitizen02 Oct
Tanzania shilling was overvalued, says IMF
The shilling’s recent plunge was a blessing in disguise because it served to bring the local currency to its genuine value, according to the International Monetary Fund (IMF).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M6xhRs2dG6w/XvZDHJSfefI/AAAAAAALvnk/CQ2VlY3QKUUgjTsRfQlO0MzaCAdMA8n5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-56-scaled.jpg)
IMF YAAHIDI KUIPATIA TANZANIA FEDHA ITAKAYOIHITAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-M6xhRs2dG6w/XvZDHJSfefI/AAAAAAALvnk/CQ2VlY3QKUUgjTsRfQlO0MzaCAdMA8n5QCLcBGAsYHQ/s1600/1-56-scaled.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Kabudi akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania Bw. Jens Reinke
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-38-scaled.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi akimuelezea jambo Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania Bw. Jens Reinke leo katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-39-scaled.jpg)
Mkurugenzi Mkazi wa IMF nchini Tanzania Bw. Jens Reinke akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_3FDwBPN5zQ/XuISMkYsIsI/AAAAAAAEHts/8Qn6LVzuTKsBMbweYEAZ34PzwDCu6L_3ACLcBGAsYHQ/s72-c/imf.png)
IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.
Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.
Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania