IMF:Urusi yaingia mdororo wa uchumi
Shirika la Fedha Duniani limesema Urusi kwa sasa imeingia katika kipindi cha "mdororo wa uchumi"
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Uchumi wa Urusi Matatani-IMF
IMF yasema kiwango cha ukuaji wa uchumi wa Urusikimeshuka sana kufuatia vikwazo vya Marekani na muungano wa Ulaya.
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Uchumi wa zimbabwe unadidimia ;IMF
Shirika la fedha duniani IMF limesema hali ya uchumi nchini Zimbabwe imezidi kudidimia.
9 years ago
Habarileo02 Oct
IMF yavutiwa na uchumi wa Tanzania
SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF) limesema kuwa limevutiwa na kukua kwa uchumi wa Tanzania. Limesema uchumi wa Tanzania unakua kwa asilimia 7 na utaendelea kukua kwa kiwango hicho katika miezi iliyobakia mwaka huu hadi mwakani.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
IMF: Tanzania iboreshe sera za kukuza uchumi
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limesema uchumi wa nchi zilizopo chini ya jangwa la sahara unazidi kuimarika kwa zaidi ya asilimia tano, huku likiitaka Tanzania kuboresha sera za kukuza uchumi kupitia miradi ya maendeleo.
5 years ago
Michuzi06 Mar
IMF yaridhishwa mwenendo wa ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/1200px-International_Monetary_Fund_logo.svg_.png)
Na Ripota Wetu-Michuzi Blog Jitihada za makusudi za Serikali ya Awamu ya Tano katika kusimamia na kutekeleza sera madhubuti za fedha na uchumi hasa katika kusimamia ukusanyaji wa mapato na matumizi, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, pamoja na usimamizi wa Benki, zimeelezwa kuwa ni miongoni mwa vitu vilivyoifanya Tanzania kukua kiuchumi na kunakoisaidia kue ndelea na ukuaji wa kasi katika siku zijazo.
Kwa mujibu wa ripoti ndogo iliyotolewa Jijini Dar es Salaam na wataalam wa Shirika la...
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Uchumi wa Urusi wayumba
Takwimu za serikali ya Urusi kuhusiana na uchumi wa nchi hiyo zinaonesha kuporomoka kwa asilimia nne nukta sita mwaka huu.
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA FEDHA DUNIANI (IMF) LATOA RIPOTI NDOGO YA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI TANZANIA,BENKI KUU YATOA UFAFANUZI
SHIRIKA la Fedha duniani (IMF) limetoa taarifa ya mwenendo wa ukuaji wa uchumi kwa Tanzania na kwa mujibu wa taarifa hiyo IMF imeelzwa kufurahishwa na ukuaji wa uchumi, kupungua kwa mfumuko wa bei, kutengeneza ajira pamoja na kuongezeka kwa uwekezaji unaofanywa na Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi katika sekta za elimu na afya.
Taarifa hiyo iliyotolewa Machi 05 mwaka huu imeeleza, timu ya IMF wakiongozwa na Enrique Gelbard walitembelea Tanzania kuanzia Februari 20 hadi Machi 04...
Taarifa hiyo iliyotolewa Machi 05 mwaka huu imeeleza, timu ya IMF wakiongozwa na Enrique Gelbard walitembelea Tanzania kuanzia Februari 20 hadi Machi 04...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi
>Maendeleo ya uchumi na jamii ni mchakato wa ukuaji wa kasi wa pato la taifa na mabadiliko ya mfumo wa uchumi kutoka kutegemea kilimo, ufugaji na uvunaji wa mali ya asili na kuelekea kutegemea viwanda na huduma za kisasa. Nchi maskini zinategemea sana sekta za msingi hususan kilimo, ufugaji na uvuvi.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76728000/jpg/_76728865_481995897.jpg)
Ghana to seek help from IMF
Ghana says it will seek financial help from the International Monetary Fund to help strengthen the West African nation's currency.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania