Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunataka sera za kutukomboa kiuchumi

KAMPENI za Uchaguzi Mkuu zimekwishakuanza.

Maggid Mjengwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

IMF KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIMARISHA SERA ZA KIUCHUMI



 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akipeana mkono na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Bw. Jens Reinke, aliefika Ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango Jijini Dodoma kujitambulisha.Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBC), Dkt. Albina Chuwa (kulia) akieleza...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunataka kampeni za amani

MWISHONI mwa wiki hii, vyama vya siasa vitazindua rasmi kampeni zao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa

Ezekiel Kamwaga

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka uchaguzi wa amani

WAKATI wananchi wa kata 27 kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakisubiri kupiga kura Jumapili ijayo kuwachagua madiwani wa kata zao, taarifa za kuwepo kwa vurugu kwenye kampeni hizo zinasikika na kusababisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunataka tusitake mabadiliko ni lazima

ASILIMIA kubwa ya Watanzania na hasa vijana wa mijini na vijijini wanataka mabadiliko. Kwa vile mabadiliko ni ya aina nyingi, ni muhimu kusisitiza kwamba mjadala wetu umejikita zaidi kwenye mabadiliko...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tunataka muungano wenye heshima’

Baada ya wabunge wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) upande wa Zanzibar kugomea kushiriki Bunge la Katiba kwa madai ya kukimbia kejeli, matusi na ubaguzi katika  Bunge hilo, taasisi moja ya utafiti na  sera za umma (ZRPP) imeamua kuwaunganisha Wazanzibari ili kufikia lengo la kupata Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka Katiba ya Tanzania si ya CCM

BAADA ya takriban siku 40 za mivutano ya kuandaa kanuni na taratibu mbalimbali, kesho wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wataanza kupitia ibara 17 za rasimu ya Katiba mpya iliyoandaliwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka uchaguzi si uchafuzi Chalinze

LEO wakazi wa Chalinze wanapiga kura kumchagua mbunge wao atakayebeba kero, matatizo na mawazo kwenye Bunge ambalo lina jukumu kubwa ya kuisimamia serikali. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tunataka watanzania wajiajiri- Wassira

Stephen-Wasira

Na Mwandishi wetu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira (pichani), amesema serikali inaandaa sera ya elimu itakayomwezesha mtanzania kujiajiri.

Alisema kuboreshwa kwa sera hiyo kutakwenda sambamba na mitaala inayotumiwa ambayo kwa muda mrefu imeshindwa kumjenga mhitimu katika dhana ya kujiajiri

Kauli hiyo aliitoa alipokuwa akizungumzia mipango ya serikali ya kuinua elimu na kumkomboa Mtanzania katika lindi la umasikini

Wassira alisema sera ya elimu inayotumika ni...

 

5 years ago

CCM Blog

TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!

Usalama-2

1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.

2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;

3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani