Tunataka sera za kutukomboa kiuchumi
KAMPENI za Uchaguzi Mkuu zimekwishakuanza.
Maggid Mjengwa
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bjp8hTEsL8E/XkbKmcgEGvI/AAAAAAALda8/1r2BC4ghHKIG4GG4fOtm3Zwy-_KaBGTJgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-27-2048x1365.jpg)
IMF KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIMARISHA SERA ZA KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bjp8hTEsL8E/XkbKmcgEGvI/AAAAAAALda8/1r2BC4ghHKIG4GG4fOtm3Zwy-_KaBGTJgCLcBGAsYHQ/s640/1-27-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-25-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-23-scaled.jpg)
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Tunataka kampeni za amani
MWISHONI mwa wiki hii, vyama vya siasa vitazindua rasmi kampeni zao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa
Ezekiel Kamwaga
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Tunataka uchaguzi wa amani
WAKATI wananchi wa kata 27 kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakisubiri kupiga kura Jumapili ijayo kuwachagua madiwani wa kata zao, taarifa za kuwepo kwa vurugu kwenye kampeni hizo zinasikika na kusababisha...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Tunataka tusitake mabadiliko ni lazima
ASILIMIA kubwa ya Watanzania na hasa vijana wa mijini na vijijini wanataka mabadiliko. Kwa vile mabadiliko ni ya aina nyingi, ni muhimu kusisitiza kwamba mjadala wetu umejikita zaidi kwenye mabadiliko...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
‘Tunataka muungano wenye heshima’
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Tunataka Katiba ya Tanzania si ya CCM
BAADA ya takriban siku 40 za mivutano ya kuandaa kanuni na taratibu mbalimbali, kesho wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wataanza kupitia ibara 17 za rasimu ya Katiba mpya iliyoandaliwa...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Tunataka uchaguzi si uchafuzi Chalinze
LEO wakazi wa Chalinze wanapiga kura kumchagua mbunge wao atakayebeba kero, matatizo na mawazo kwenye Bunge ambalo lina jukumu kubwa ya kuisimamia serikali. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha...
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Tunataka watanzania wajiajiri- Wassira
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira (pichani), amesema serikali inaandaa sera ya elimu itakayomwezesha mtanzania kujiajiri.
Alisema kuboreshwa kwa sera hiyo kutakwenda sambamba na mitaala inayotumiwa ambayo kwa muda mrefu imeshindwa kumjenga mhitimu katika dhana ya kujiajiri
Kauli hiyo aliitoa alipokuwa akizungumzia mipango ya serikali ya kuinua elimu na kumkomboa Mtanzania katika lindi la umasikini
Wassira alisema sera ya elimu inayotumika ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s72-c/Usalama-2.jpg)
TUNATAKA MABADILIKO SHERIA YA USALAMA BARABARANI.....!
![Usalama-2 Usalama-2](https://1.bp.blogspot.com/-anJearEjYck/XuqIgOroXxI/AAAAAAAAdMs/GO3YmnfiP4gMjmBikfi8qone_Ew1aCiWwCLcBGAsYHQ/s400/Usalama-2.jpg)
1. KUDHIBITI Mwendokasi (Speed) kwa kuweka alama za mwendo kikomo maeneo yenye halaiki, kama vile sokoni, mashuleni, na mijini; na kuweka tafsiri sahihi ya maana ya maeneo ya makazi.
2. Kuwafanya wote dereva na abiria wa Pikipiki avae Kofia ngumu (helmet), ili abiria asiyevaa kofia na ipo apigwe faini yeye mwenyewe;
3. Kuwafanya abiria wote kwenye gari wafunge mikanda (seat belts) na sio wa siti za mbele tu. Kwani ajali zinapotokea abiria wote wanapata madhara. Sheria itamke wazi kuwa abiria...