Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunataka uchaguzi wa amani

WAKATI wananchi wa kata 27 kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakisubiri kupiga kura Jumapili ijayo kuwachagua madiwani wa kata zao, taarifa za kuwepo kwa vurugu kwenye kampeni hizo zinasikika na kusababisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Tunataka kampeni za amani

MWISHONI mwa wiki hii, vyama vya siasa vitazindua rasmi kampeni zao kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa

Ezekiel Kamwaga

 

9 years ago

GPL

TUNATAKA KAMPENI ZA AMANI NCHINI KOTE

Tuanze makala haya kwa kumsifu Mungu, muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana katika dunia hii. Hakika tumhimidi daima huku tukimuomba atuzidishie maarifa ya kutambua umoja wetu na amani katika taifa letu. Hivi sasa vyama vya siasa vipo katika kampeni zao kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25. Hili ni zoezi muhimu katika nchi zote zinazoheshimu misingi ya utawala bora na...

 

11 years ago

Mtanzania

Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani

Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda

Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda

NA MWANDISHI WETU, SEOUL

MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.

Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.

Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunataka uchaguzi si uchafuzi Chalinze

LEO wakazi wa Chalinze wanapiga kura kumchagua mbunge wao atakayebeba kero, matatizo na mawazo kwenye Bunge ambalo lina jukumu kubwa ya kuisimamia serikali. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha...

 

9 years ago

Mwananchi

Tunataka tusikie kauli ya pamoja mgogoro wa uchaguzi Zanzibar

Baadhi ya vyombo vya habari jana vilimkariri Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi akisema kwamba viongozi wa Serikali na vyama vya siasa visiwani humo wameifikia makubaliano ya kurudiwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

 

9 years ago

Michuzi

WADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI

Hapa ni katika ukumbi wa Vigirmark Hotel mjini Shinyanga ambako jana Jumanne,Oktoba 20,2015,wadau mbalimbali wa amani mkoani Shinyanga wamekutana kwa ajili ya majadiliano ya ushirikiano wa kudumisha amani katika kipindi cha uchaguzi mkuu 2015.Kikao hicho kimeandaliwa na uongozi wa mkoa wa Shinyanga likiwemo jeshi la polisi kwa kushirikiana na Shirika la Save The Children linalojihusisha na utetezi wa haki za watoto.
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...

 

5 years ago

Michuzi

Tunataka Shughuli za Uchaguzi Mkuu 2020 zifanyike Jengo Jipya la NEC-Mhagama

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama, amekagua hatua ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), zilizopo eneo la Njedengwa Jijini Dodoma na kusema kuwa serikali imedhamiria shughuli za Uchaguzi Mkuu mwaka huu kufanyika kwenye jengo hilo jipya la Tume hiyo.

Amebainisha hayo wakati alipofanya ukaguzi wa maendeleo ya Ujenzi wa majengo ya Tume hiyo, leo tarehe 10 Februari, 2020, ambapo...

 

9 years ago

Habarileo

JK asisitiza uchaguzi wa amani

TANZANIA imeendelea kusisitiza kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Wawakilishi, Madiwani na Masheha unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu utafanyika kwa amani na utulivu ambapo Watanzania watakuwa na uhuru wa kupiga kura bila woga kuwachagua viongozi wanaowataka.

 

10 years ago

Habarileo

EU yaombea uchaguzi wa amani

BALOZI wa Jumuiya ya Ulaya, Filberto Cerian Sebregondi amezitaka taasisi zinazoshughulikia uchaguzi mkuu kuhakikisha unafanyika katika mazingira ya haki na kufuata demokrasia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani