Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunataka Shughuli za Uchaguzi Mkuu 2020 zifanyike Jengo Jipya la NEC-Mhagama

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama, amekagua hatua ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), zilizopo eneo la Njedengwa Jijini Dodoma na kusema kuwa serikali imedhamiria shughuli za Uchaguzi Mkuu mwaka huu kufanyika kwenye jengo hilo jipya la Tume hiyo.

Amebainisha hayo wakati alipofanya ukaguzi wa maendeleo ya Ujenzi wa majengo ya Tume hiyo, leo tarehe 10 Februari, 2020, ambapo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU NZUNDA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC)JIJINI DODOMA



Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bw. Tixon Nzunda pamoja na timu aliyoongozana nayo wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC) lililopo eneo la Njedengwa Jijini Dodoma.Mhandisi wa mifumo ya zima moto, Gaudence Kessy akitoa ufafanuzi wa masuala ya ufungaji wa mifumo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA UCHAGUZI (NEC), LILILOPO NDEJENGWA, JIJINI DODOMA.





Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasili kwenye Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, wakati alipoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, linalojengwa na Kikosi cha SUMA JKT, May 5, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo...

 

11 years ago

Michuzi

Idara ya Uhamiaji yahamishia shughuli zake zote kwenye jengo jipya Kurasini

 Taswira za  Uhamiaji House, jengo la Idara ya Uhamiaji ambamo  shughuli zote za mambo ya uhamiaji zinafanyika maeneo ya  Kurasini, wilaya ya Temeke, (nyuma ya Chuo cha Diplomasia), jijini Dar es salaam. Awali shughuli za uhamiaji zilikuwa zikifanyika katika jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani katikati ya jiji.

 

5 years ago

Michuzi

NEC yakutana na viongozi wa vyama vya Siasa kujadili suala la Uchaguzi mkuu 2020.


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

Katika kuelekea uchaguzi Mkuu 2020 wa Rais, Wabunge na madiwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili maandalizi ya uwekaji wazi wa Daftari la awali na kutoa taarifa ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.

Akifungua mkutano huo uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa nchini Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...

 

5 years ago

CCM Blog

NEC YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUJADILI NA KUPITISHA KANUNI NA MAADILI KWA UCHAGUZI MKUU 2020



Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...

 

5 years ago

CCM Blog

NEC YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUJALILI NA KUPITISHA KANUNI NA MAADILI KWA UCHAGUZI MKUU 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imejizatiti na imejipanga kuhakikisha kuwa inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba, Sheria, Kanuni pamoja na kuzingatia masharti ya Kanuni za Maadili ya Uchaguzi.
Hayo yamesemwa jana  Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Mhe.Jaji Semistocles Kaijage katika kikao na vyama vya Siasa na Wadau wengine wa Uchaguzi kujadili na kupitisha Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020.
Akizungumza katika kikao hicho Jaji...

 

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015

11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o

Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.

11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o

Vifaa mbalimbali...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015

Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema leo alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam. Vifaa ...

 

9 years ago

Michuzi

MFUMO WA KIELETRONIKI KURATIBU SHUGHULI ZA SERIKALI - MH. MHAGAMA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama (Mb), akisisitiza umuhimu wa kutafuta majibu ya maswali kwa wakati yaliyoelekezwa Serikalini kipindi cha Bunge wakati alipokutana na Maafisa wa Bunge wa Wizara za Tanzania Bara leo, Tarehe 23 Desemba, 2015, Jijini Dar es Salaam. Baadhi ya maafisa Bunge kutoka Wizara za Tanzania Bara wakiendelea na uchambuzi wa maswali yaliyoelekezwa serikalini kipindi cha Bunge leo, Tarehe 23...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani