MFUMO WA KIELETRONIKI KURATIBU SHUGHULI ZA SERIKALI - MH. MHAGAMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Jenista Mhagama (Mb), akisisitiza umuhimu wa kutafuta majibu ya maswali kwa wakati yaliyoelekezwa Serikalini kipindi cha Bunge wakati alipokutana na Maafisa wa Bunge wa Wizara za Tanzania Bara leo, Tarehe 23 Desemba, 2015, Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya maafisa Bunge kutoka Wizara za Tanzania Bara wakiendelea na uchambuzi wa maswali yaliyoelekezwa serikalini kipindi cha Bunge leo, Tarehe 23...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGANZcWX-PapaXXJRoWxLxw8PyXpgPckKFsJB*R1S1Lqbvfeoqapro3ql7tve8RgGx5hX6HDlnDjl4iBmrM6GgVwo/unnamed491.jpg)
JINSI MFUMO WA KIELETRONIKI WA MALIPO YA FAINI ZA BARABARANI UNAVYOFANYA KAZI
5 years ago
MichuziTunataka Shughuli za Uchaguzi Mkuu 2020 zifanyike Jengo Jipya la NEC-Mhagama
Amebainisha hayo wakati alipofanya ukaguzi wa maendeleo ya Ujenzi wa majengo ya Tume hiyo, leo tarehe 10 Februari, 2020, ambapo...
5 years ago
MichuziSERIKALI KUWEKA UTARATIBU UTAKAOWEZESHA TAASISI ZA UMMA NA WATU BINAFSI KUACHA KUAGIZA KADI ZA KIELETRONIKI NJE YA NCHI
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza wakati alipotembelea Kiwanda cha Kuzalisha Vocha na Kadi mbalimbali kilichopo cha Rushabh Investment Limited cha Jijini Tanga wakati wa ziara yake kuona namna wanavyoendelea na uzalishaji kulia ni Mwekezaji wa Kiwanda hicho Rashid Liemba.
Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto akikagua kadi mbalimbali ikiwemo za Kadi za Mpiga kura,Benki na Kadi za NHIF na vyenginezo zilizokuwa zikitoka kwenye mashine za kutengenezea kwenye kiwanda cha...
9 years ago
MichuziMHAGAMA: AZITAKA HAMASHAURI ZOTE NCHINI KUTEKELEZA MAELEKEZO YA SERIKALI YA KUJIAANDAA NA KUKABILI MAAFA
10 years ago
StarTV14 Jan
Serikali yazuia shughuli zinazohusiana na ramli.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Serikali imezuia shughuli zote zinazohusiana na upigaji ramli ikiwataka wapiga ramli wote kuacha shughuli hiyo mara moja vinginevyo watakaobainika watachukuliwa hatua za kisheria.
Katazo hili linakuja ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino ambayo yamedumu kwa muda mrefu sasa hapa nchini.
Waziri wa Mambo ya ndani Mathias Chikawe amesema si kwamba Serikali inaamini uchawi la hasha. Ila kuwepo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vh5gjJ2ZVpM/VVr3kG90MDI/AAAAAAAHYNY/9E9xpLlbrzI/s72-c/jakaya_kikwete.jpg)
JK kufungua mkutano wa Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi
![](http://3.bp.blogspot.com/-vh5gjJ2ZVpM/VVr3kG90MDI/AAAAAAAHYNY/9E9xpLlbrzI/s400/jakaya_kikwete.jpg)
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Jakaya Kikwete anatarajia kufungua mkutano wa Kanda ya Afrika kuhusu Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa uwazi (OGP).
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu inaeleza kuwa mkutano huo wenye kauli mbiu isemayo “Kuimarisha Utawala Bora Unaozingatia Uwajibikaji na Uwazi” utafanyika Mei 20 hadi 21, 2015 katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Aidha, imeeleza kuwa dhumuni la mkutano huo...
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Serikali kuboresha zaidi mazingira ya kufanyia shughuli za wajasiriamali mkoani Singida
Meneja mradi wa kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo,Florentina Sallah, akitoa nasaha zake kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuriwa na wafanyabiashara wadogo 150 wa mkoa wa Singida.Wa kwanza kulia ni Mkuu wa mkoa wa Singida,D k.Parseko Kone na anayefuatia ni,Dk.Willhelm Ngasamiaku,mhadhiri wa uchumi idara ya uchumi chuo kikuu cha Dar-es-salaam.
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Uboreshaji wa mfumo wa serikali za mitaa
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Serikali kutathmini mfumo wa usajili