MHAGAMA: AZITAKA HAMASHAURI ZOTE NCHINI KUTEKELEZA MAELEKEZO YA SERIKALI YA KUJIAANDAA NA KUKABILI MAAFA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Bibi Jenista Mhagama (Mb), akiangalia Sehemu ya mtaro wa maji katika eneo la Tegeta, Basihaya wilayani Kinondoni, Jijini Dar es Salaam leo wakati alipofanya ziara kuangalia jinsi wilaya hiyo ilivyojiandaa kukabili maafa ya Mvua zinazoendelea kunyesha jijini humo, kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E65kM3zvFFs/Xkv4Ql8nRSI/AAAAAAALeAE/ART8Qd-OtesLtk3cn-CIPyu5SwkBlRXXgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1.jpg)
Katibu Mkuu Mwaluko azitaka sekta zishirikiane kukabili maafa
![](https://1.bp.blogspot.com/-E65kM3zvFFs/Xkv4Ql8nRSI/AAAAAAALeAE/ART8Qd-OtesLtk3cn-CIPyu5SwkBlRXXgCLcBGAsYHQ/s640/P1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eq1JkwnRyJw/Xkv4Q9S7acI/AAAAAAALeAI/nGSggu1CzdoY-n31rHA-_yuGJytXzcogwCLcBGAsYHQ/s640/P2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kFrJ9M5hD0A/XkvEKuVHcOI/AAAAAAAAFuw/pArY_G7phvQ26YVtbPJYiSHGLPZ2mOr6ACNcBGAsYHQ/s72-c/MWALUKO.jpg)
Katibu Mkuu Dorothy Mwaluko azitaka sekta zishirikiane kukabili maafa
![](https://1.bp.blogspot.com/-kFrJ9M5hD0A/XkvEKuVHcOI/AAAAAAAAFuw/pArY_G7phvQ26YVtbPJYiSHGLPZ2mOr6ACNcBGAsYHQ/s640/MWALUKO.jpg)
Na OWM, ZANZIBAR
“Tatizo la athari za maafa yanayotokana na majanga ya asili linahitaji ushiriki wa sekta zote ili kukabiliana nalo ipasavyo, katika nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)” Mwaluko.
Kauli hiyo imetolewa leo mjini Zanzibar na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji), Dorothy Mwaluko wakati alipokuwa anafungua kikao cha SADC cha Makatibu Wakuu wenye dhamana ya maafa katika nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ambaye yeye ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EolbNZRjHAw/XuZJJLCJoYI/AAAAAAALt1E/xRWzuZYgTiQTIL09y7pCu8ny8tBX6cM4wCLcBGAsYHQ/s72-c/e347af0a-2424-428d-9c7f-24389b7063fa.jpg)
WAZIRI UMMY AZITAKA HOSPITALI ZOTE NCHINI KUACHA KUWADAI DAMU WAGONJWA KABLA YA HUDUMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EolbNZRjHAw/XuZJJLCJoYI/AAAAAAALt1E/xRWzuZYgTiQTIL09y7pCu8ny8tBX6cM4wCLcBGAsYHQ/s640/e347af0a-2424-428d-9c7f-24389b7063fa.jpg)
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma mapema leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f84cd3f6-1b00-405c-b949-edc70fcf36bc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6cffadbb-902a-4893-9c86-cc8ad1aa2912.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nK7UMqu-jfg/VEoY9-6G3II/AAAAAAAGtGg/BfpXV5B6gFg/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Ummy Mwalimu azitaka Halmashauri zote nchini kutoa elimu kwa wananchi juu ya utunzaji wa mazingira
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu wakati alipofanya ziara ya kutembelea masoko ya manispaa za Temeke na Ilala za jijini Dar es Salaam.
Amekumbushia pia kila Manispaa kuzingatia agizo la Makamu wa Rais la kufanya usafi kila jumamosi ya mwanzo wa mwezi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7pYHQGUKNDk/VPrgKiNrjiI/AAAAAAADQsI/TUnxBKHVLos/s72-c/turuka.jpg)
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7pYHQGUKNDk/VPrgKiNrjiI/AAAAAAADQsI/TUnxBKHVLos/s1600/turuka.jpg)
-JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA WAZIRI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-kA_glYsMrpQ/VPrfPYrD_xI/AAAAAAADQsA/4Ru-AaDtGN8/s200/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa viwango...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3-FEM5IDPMM/VPiWUpbM7mI/AAAAAAAHH5o/tWEFcqOR250/s72-c/images%2B(2).jpg)
HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3-FEM5IDPMM/VPiWUpbM7mI/AAAAAAAHH5o/tWEFcqOR250/s1600/images%2B(2).jpg)
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s72-c/12345.jpg)
SERIKALI NCHINI UCHINA IMEPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA WINDOW 8 KWA KOMPUTA ZOTE ZA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SydUbhxmfig/U3yyghkQjRI/AAAAAAAAAhs/_wLdRgwymcI/s1600/12345.jpg)
Tangazo hilo la serikali linalosemeka “HAPA” limebainisha uamuzi huo wa serikali umekuja baada ya kufungiwa huduma za kiusalama kwa...
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali ya Tanzania yafunga shule zote nchini kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
11 years ago
Habarileo01 May
EAC kukabili ugaidi kwa nguvu zote
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema nchi wanachama katika jumuiya hiyo, zitatumia rasilimali zao kukabiliana na ugaidi na uhalifu unaozikabili.