JINSI MFUMO WA KIELETRONIKI WA MALIPO YA FAINI ZA BARABARANI UNAVYOFANYA KAZI
![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGANZcWX-PapaXXJRoWxLxw8PyXpgPckKFsJB*R1S1Lqbvfeoqapro3ql7tve8RgGx5hX6HDlnDjl4iBmrM6GgVwo/unnamed491.jpg)
Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani, DCP Mohamed Mpinga. Mfumo wa ulipaji faini za papo kwa hapo kielekitroniki unafanyakazi kama ifuatavyo: Dereva aliyetenda kosa akikamatwa na kutakiwa kulipa faini kwa njia ya kielektroniki, askari ataingiza kwenye mashine taarifa za namba ya usajili wa gari, nambari ya leseni ya dereva, eneo kosa lilipofanyika, kosa lililofanyika na kisha askari atatoa tiketi ya kielektroniki kumpa dereva...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kifaa cha kulipia faini barabarani kuanza kazi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wbN5pHKFsKs/VlxhZzAr0ZI/AAAAAAAIJUY/DBkvKgODlxQ/s72-c/49f5c4e9-d42b-4861-9018-6157a33fd35f.png)
FAHAMU KUHUSU MFUMO WA NGUVU ZA KIUME NA JINSI UNAVYO FANYA KAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wbN5pHKFsKs/VlxhZzAr0ZI/AAAAAAAIJUY/DBkvKgODlxQ/s1600/49f5c4e9-d42b-4861-9018-6157a33fd35f.png)
NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC ni duka linalo uza dawa mbalimbali za asili. Tunayo dawa asilia iitwayo JIKO ambayo inatibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume. Dawa hii ni ya asili kabisa, isiyo na...
9 years ago
MichuziMFUMO WA KIELETRONIKI KURATIBU SHUGHULI ZA SERIKALI - MH. MHAGAMA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nP5hbfbeaQE/Vfmyw8RogLI/AAAAAAAH5Zw/Fc2WwGkkUMQ/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
ULIPAJI WA MAKOSA YA BARABARANI KWA NJIA YA KIELETRONIKI KUANZA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM.
10 years ago
Habarileo24 Sep
RC: Faini za makosa barabarani ziongezwe
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe ametaka sheria za usalama barabarani, ziangaliwe upya kwa lengo la kuongeza adhabu na faini kwa wanaosababisha ajali.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Faini barabarani kulipwa kidijitali TZ
10 years ago
Habarileo08 Sep
Faini barabarani zaingiza mabilioni
OPERESHENI ya kukamata madereva wanaofanya makosa ya barabarani, inayoendana na utozaji wa faini nchini, imeliingizia Jeshi la Polisi mabilioni ya shilingi. Akizungumza na gazeti hili juzi, Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema mapato yatokanayo na makosa hayo yaliyokusanywa kwa miezi sita mwaka huu, yamezidi makusanyo yote yaliyofanyika mwaka jana.
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Faini za barabarani zaingiza Sh4.1 bilioni Dar
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakaoacha mifugo barabarani Zanzibar kulimwa faini kubwa