Faini barabarani zaingiza mabilioni
OPERESHENI ya kukamata madereva wanaofanya makosa ya barabarani, inayoendana na utozaji wa faini nchini, imeliingizia Jeshi la Polisi mabilioni ya shilingi. Akizungumza na gazeti hili juzi, Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema mapato yatokanayo na makosa hayo yaliyokusanywa kwa miezi sita mwaka huu, yamezidi makusanyo yote yaliyofanyika mwaka jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Faini za barabarani zaingiza Sh4.1 bilioni Dar
10 years ago
Habarileo24 Sep
RC: Faini za makosa barabarani ziongezwe
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe ametaka sheria za usalama barabarani, ziangaliwe upya kwa lengo la kuongeza adhabu na faini kwa wanaosababisha ajali.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Faini barabarani kulipwa kidijitali TZ
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kifaa cha kulipia faini barabarani kuanza kazi
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakaoacha mifugo barabarani Zanzibar kulimwa faini kubwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGANZcWX-PapaXXJRoWxLxw8PyXpgPckKFsJB*R1S1Lqbvfeoqapro3ql7tve8RgGx5hX6HDlnDjl4iBmrM6GgVwo/unnamed491.jpg)
JINSI MFUMO WA KIELETRONIKI WA MALIPO YA FAINI ZA BARABARANI UNAVYOFANYA KAZI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RLhi67I8OGo/VTYyzd2v2HI/AAAAAAAHSNc/r6KvZnKuVmo/s72-c/MMGL0570.jpg)
YANGA, ETOILE ZAINGIZA MIL 22
![](http://3.bp.blogspot.com/-RLhi67I8OGo/VTYyzd2v2HI/AAAAAAAHSNc/r6KvZnKuVmo/s1600/MMGL0570.jpg)
Jumla ya watazamaji 36,105 walikata tiketi kuhudhuria mchezo huo, huku VIP A zikikatwa tiketi 68, VIP B tiketi 869, VIP C tiketi 582, Orange tiketi 1,955 na viti vya rangi ya Bluu na Kijani tiketi 32,631 ziliuzwa.
Mgawanyo wa mapato ni VAT 18% sh....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Xt4wQ_c-4iA/VP3U6AZWGjI/AAAAAAAHJJU/_8RQay9uqmc/s72-c/MMGL0115.jpg)
SIMBA, YANGA ZAINGIZA MIL 436
![](http://2.bp.blogspot.com/-Xt4wQ_c-4iA/VP3U6AZWGjI/AAAAAAAHJJU/_8RQay9uqmc/s1600/MMGL0115.jpg)
Watazamaji 309 walikata tiketi za VIP A, 1,310 VIP B, 1,533 VIP C, Rangi ya Machungwa (Orange) 9,913 huku viti vya rangi ya bluu na kijani wakiingia watazamaji 36,693.
Mgawanyo wa mapato ya mchezo huo ni VAT 18% sh.66,623.796, FDF timu mwenyeji sh. 17,415,300, FDF TFF sh.7,463,700, Gharama za tiketi...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Mbeya City na Yanga zaingiza Sh175milioni, zaambulia Sh84milioni