Watakaoacha mifugo barabarani Zanzibar kulimwa faini kubwa
Muswada wa Sheria ya kurekebisha Amri ya Barabara umepiti kwa mbinde baada ya kulazimika kupigwa kura kutokana na Mwakilishi wa Muyuni, Jaku Hashim Ayoub kupinga adhabu ya wafugaji kufungwa miezi mitatu jela au kulipa faini ya Sh1 milioni ikiwa wataachia mifugo yao kuzagaa barabarani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
Faini barabarani zaingiza mabilioni
OPERESHENI ya kukamata madereva wanaofanya makosa ya barabarani, inayoendana na utozaji wa faini nchini, imeliingizia Jeshi la Polisi mabilioni ya shilingi. Akizungumza na gazeti hili juzi, Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema mapato yatokanayo na makosa hayo yaliyokusanywa kwa miezi sita mwaka huu, yamezidi makusanyo yote yaliyofanyika mwaka jana.
10 years ago
Habarileo24 Sep
RC: Faini za makosa barabarani ziongezwe
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe ametaka sheria za usalama barabarani, ziangaliwe upya kwa lengo la kuongeza adhabu na faini kwa wanaosababisha ajali.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Faini barabarani kulipwa kidijitali TZ
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Faini za barabarani zaingiza Sh4.1 bilioni Dar
10 years ago
GPLMIFUGO YANASWA IKITEMBEA BARABARANI JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kifaa cha kulipia faini barabarani kuanza kazi
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGANZcWX-PapaXXJRoWxLxw8PyXpgPckKFsJB*R1S1Lqbvfeoqapro3ql7tve8RgGx5hX6HDlnDjl4iBmrM6GgVwo/unnamed491.jpg)
JINSI MFUMO WA KIELETRONIKI WA MALIPO YA FAINI ZA BARABARANI UNAVYOFANYA KAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--VGSUQCZTuc/XkzxZg8XIsI/AAAAAAALePQ/nypcgu1kJdIuBYeBv_x6e4pgLBOyeOkJACLcBGAsYHQ/s72-c/344.jpg)
SOKO KUBWA LA MAZAO NA MNADA WA MIFUGO KUANZISHWA KYERWA.
Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa inajipanga kujenga Soko la Mazao na Mnada wa Mifugo katika Kata ya Murongo Wilayani Kyerwa lenye thamani ya Shilingi 114, 549,996 lengo likiwa ni kudhibiti biashara ya magendo ya usafirishaji na uuzaji wa mazao na mifugo kwa njia zisizokuwa halali.
Mpango huo ni miongoni mwa vipaumbele ambavyo vimebainishwa katika Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020-2021, uliowasilishwa katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo,...
10 years ago
GPLGARI KUBWA LAHARIBIKIA BARABARANI