Faini za barabarani zaingiza Sh4.1 bilioni Dar
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekusanya kiasi cha Sh4.1 bilioni kutokana na faini za makosa mbalimbali barabarani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
Faini barabarani zaingiza mabilioni
OPERESHENI ya kukamata madereva wanaofanya makosa ya barabarani, inayoendana na utozaji wa faini nchini, imeliingizia Jeshi la Polisi mabilioni ya shilingi. Akizungumza na gazeti hili juzi, Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema mapato yatokanayo na makosa hayo yaliyokusanywa kwa miezi sita mwaka huu, yamezidi makusanyo yote yaliyofanyika mwaka jana.
10 years ago
Habarileo24 Sep
RC: Faini za makosa barabarani ziongezwe
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe ametaka sheria za usalama barabarani, ziangaliwe upya kwa lengo la kuongeza adhabu na faini kwa wanaosababisha ajali.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Faini barabarani kulipwa kidijitali TZ
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kifaa cha kulipia faini barabarani kuanza kazi
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakaoacha mifugo barabarani Zanzibar kulimwa faini kubwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dy3vmM5JGANZcWX-PapaXXJRoWxLxw8PyXpgPckKFsJB*R1S1Lqbvfeoqapro3ql7tve8RgGx5hX6HDlnDjl4iBmrM6GgVwo/unnamed491.jpg)
JINSI MFUMO WA KIELETRONIKI WA MALIPO YA FAINI ZA BARABARANI UNAVYOFANYA KAZI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFVDt3zClubX4ZZc4lYRLC-QFZv9M4iRbFe1XmAR9GFOGW*mZ0I5HuCn*C12AtJL30y9lcFvTBvkPiQyUwpzHm0r/TINYO.jpg?width=650)
KIGOGO WA UNGA JELA MIAKA 20, FAINI SHILINGI BILIONI 15
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
10 years ago
TheCitizen28 May
Sh4.4tr required to decongest Dar