Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAHAMU KUHUSU MFUMO WA NGUVU ZA KIUME NA JINSI UNAVYO FANYA KAZI

Unasumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  ?Unahitaji  kupata  tiba  sahihi  na  ya  uhakika  ya  tatizo  lako ?  Kama  jibu  ni  NDIO  basi  hii  ni  HABARI  NJEMA  SANA   kwako.
NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL FOODS  CLINIC    ni  duka  linalo  uza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunayo  dawa  asilia iitwayo  JIKO  ambayo  inatibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii  ni  ya  asili  kabisa, isiyo  na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

IFAHAMU SAYANSI YA MFUMO WA NGUVU ZA KIUME.




Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalowakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  yamwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwaukamilifu

HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUMEIli  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanyatendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbilikama ...

 

10 years ago

Michuzi

FAHAMU UHUSIANO ULIOPO KATI YA UNENE & UZITO ULIOZIDI (OBESITY & OVERWEIGHT ) NA TATIZO LA UKOSEFU/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Unene  na  uzito  uliozidi  ( Obesity )  ni  miongoni  mwa  vyanzo  na  visababishi  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Kwa   mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitabibu, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wenye   unene  na  uzito  uliozidi, wanakabiliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
KWANINI  WANAUME  WENYE  UNENE  NA  UZITO  ULIOZIDI  WANAKABILIWA  NA  HATARI  KUBWA  YA  KUPATWA  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA...

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu jinsi mawasiliano bora yanavyoweza kuepusha migogoro na migomo sehemu za kazi

Je unajua kuwa katika maisha ni muhimu kwa kila mtu kuelewana na mwenzake, kwani hii ndiyo njia pekee ya mtu kumuelewa mwenzake na kutambua hisia, matakwa na vitu anavyovipenda na asivyovipenda. Maelewano haya huweza kupatikana kwa mawasiliano.

 

9 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI #RECRUITME INAVYOWEZA KUKUPA UJUZI UTAKAOKUSAIDIA KUPATA KAZI UITAKAYO

Na Jamiimojablog Ujuzi, katika soko la ajira ni mali ambayo inahitaji matengenezo na uboreshaji. Kama mali nyingine yoyote, matumizi yake bora, hukuzalishia zaidi. Sababu nyingi zimetolewa katika kipindi cha miaka mingi kwamba kuna utofauti wa wazi baina ya mtu mwenye elimu aliyeko kazini na mwenye elimu bila kazi. Utofauti huo ni jinsi ujuzi wa watu hao wawili unavyotumika.


Vijana wengi wa Tanzania wana ujuzi waliopata kutokana na mafunzo mbalimbali, lakini baadhi yao kushindwa kutumia...

 

9 years ago

GPL

JINSI MFUMO WA KIELETRONIKI WA MALIPO YA FAINI ZA BARABARANI UNAVYOFANYA KAZI

Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani, DCP Mohamed Mpinga. Mfumo wa ulipaji faini za papo kwa hapo kielekitroniki unafanyakazi kama ifuatavyo: Dereva aliyetenda kosa akikamatwa na kutakiwa kulipa faini kwa njia ya kielektroniki, askari ataingiza kwenye mashine taarifa za namba ya usajili wa gari, nambari ya leseni ya dereva, eneo kosa lilipofanyika, kosa lililofanyika na kisha askari atatoa tiketi ya kielektroniki kumpa dereva...

 

10 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia. JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANAKwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati  ya bilioni 50  hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa binadamu. Kwa wanawake  seli hizo  zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye  nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande  wa  wanaume seli  hizo...

 

10 years ago

GPL

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo hili kwa kawaida huwapata watu wenye umri mkubwa hasa kuanzia umri wa miaka sitini na wagonjwa wenye magonjwa sugu kama shinikizo la damu, kisukari, kansa, kifua kikuu, ukimwi na wale wanaotumia madawa kwa muda mrefu. Mfano baadhi ya dawa za shinikizo la damu, moyo, kansa, vidonda vya tumbo na nyingine nyingi ambazo hazijafanyiwa uchunguzi wa kisayansi hasa baadhi ya dawa za asili huweza kukuathiri kabisa badala ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?

Mwakilishi wa wanawake katika eneo la Meru huko Kenya Florence Kajuju ameanza mpango wa kuwahamasisha wanaume kutumia miraa

 

10 years ago

Mwananchi

Vyakula vinavyoimarisha nguvu za kiume

Tunaendelea na sehemu ya pili ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume, Vyakula vya nafaka ambavyo vimesheheni nishati nyingi, nafaka zina nyuzinyuzi (fibre) na sukari ambazo kusaidia kutunza uzito wa mwili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani