Fahamu jinsi mawasiliano bora yanavyoweza kuepusha migogoro na migomo sehemu za kazi
Je unajua kuwa katika maisha ni muhimu kwa kila mtu kuelewana na mwenzake, kwani hii ndiyo njia pekee ya mtu kumuelewa mwenzake na kutambua hisia, matakwa na vitu anavyovipenda na asivyovipenda. Maelewano haya huweza kupatikana kwa mawasiliano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wbN5pHKFsKs/VlxhZzAr0ZI/AAAAAAAIJUY/DBkvKgODlxQ/s72-c/49f5c4e9-d42b-4861-9018-6157a33fd35f.png)
FAHAMU KUHUSU MFUMO WA NGUVU ZA KIUME NA JINSI UNAVYO FANYA KAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wbN5pHKFsKs/VlxhZzAr0ZI/AAAAAAAIJUY/DBkvKgODlxQ/s1600/49f5c4e9-d42b-4861-9018-6157a33fd35f.png)
NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC ni duka linalo uza dawa mbalimbali za asili. Tunayo dawa asilia iitwayo JIKO ambayo inatibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume. Dawa hii ni ya asili kabisa, isiyo na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HYHf5SgZ8mM/VkGumaFjVsI/AAAAAAAAUks/HtZAlXUTZMA/s72-c/recruitme.jpg)
FAHAMU JINSI #RECRUITME INAVYOWEZA KUKUPA UJUZI UTAKAOKUSAIDIA KUPATA KAZI UITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HYHf5SgZ8mM/VkGumaFjVsI/AAAAAAAAUks/HtZAlXUTZMA/s640/recruitme.jpg)
Vijana wengi wa Tanzania wana ujuzi waliopata kutokana na mafunzo mbalimbali, lakini baadhi yao kushindwa kutumia...
9 years ago
StarTV22 Sep
DNA yadaiwa kuepusha migogoro katika mahusiano:
Kukiwa kumekidhiri kwa migogoro mingi miongoni mwa wanafamilia kutokana na utambuzi wa watoto Jamii imetakiwa kujijengea mazoea ya kupima vinasaba ili kuondoa tatizo la migogoro ya familia inayojitokeza katika utambuzi wa mahusiano ya vinasaba kati ya watoto na wazazi.
Sehemu kubwa ya wanajamii wanadaiwa kujijengea mazoea ya kupima vinasaba pale wanapokuwa hawana uhakika na uhalali wa baadhi ya watoto katika ndoa zao.
Mkemia Mkuu wa Serikali na Mkuu wa kitengo cha DNA Segumba amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g_fTvt-rr-Q/VWh11NMRFAI/AAAAAAAHapI/EHL7L3vBSc0/s72-c/PG4A0630.jpg)
ANDIKENI WOSIA KUEPUSHA MIGOGORO - WAZIRI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-g_fTvt-rr-Q/VWh11NMRFAI/AAAAAAAHapI/EHL7L3vBSc0/s320/PG4A0630.jpg)
Ametoa wito huo leo mchana (Ijumaa, Mei 29, 2015) wakati akizindua kampeni ya kuandika wosia kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) yaliyofanyika katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza mara baada ya kushuhudia uandishi wa wosia mbele ya wakili, Waziri Mkuu alisema uandishi wa...
10 years ago
Habarileo11 May
Viongozi Afrika watakiwa kuepusha nchi na migogoro
MWAKILISHI wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani, Balozi Amina Salum Ally amewataka viongozi wa Afrika kutumia mbinu mbalimbali ili kuziepusha nchi zao na migogoro ya mara kwa mara inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani na kudumaa kwa uchumi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AeUgs9mNexw/VYGjNLwsONI/AAAAAAAAC7I/n2WABUSkPFk/s72-c/kitambi.jpg)
FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI
![](http://4.bp.blogspot.com/-AeUgs9mNexw/VYGjNLwsONI/AAAAAAAAC7I/n2WABUSkPFk/s640/kitambi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtimGFeM6Ac/VYGjaqQ6mzI/AAAAAAAAC7Q/JFI22eEQnAA/s640/neemaherbalist.jpg)
Kwa upande wa wanaume seli hizo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WAZIRI CHIKAWE KUFUTA USAJILI WA MAKANISA YENYE MIGOGORO KWA LENGO LA KUEPUSHA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gG0IU87vSnI/U9V1Y_cJkMI/AAAAAAAF7Ik/JjZdrBSNhR4/s1600/unnamed+(7).jpg)
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi unavyoweza kufanikiwa binafsi kujitenga ili kuepusha maambukizi.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Fahamu sababu, tiba ya muwasho sehemu za siri