Fahamu sababu, tiba ya muwasho sehemu za siri
Kuwashwa sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani bila kujali jinsi, muwasho unaweza kuwa umesababishwa na ugonjwa wa ngozi, zinaa au mzio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbUEIykB81FDLSUoojFUxxF3DBrgQmTBWEYhbb-GllVQapxErNYHrgn8RwHp-6mhDVXJTAcTiQN0gREdc8MDkE0y/kitovuuuuuu2.jpg)
TIBA YA FANGASI WANAOSHAMBULIA SEHEMU ZA SIRI
Wiki iliyopita tulieleza kwa urefu kuhusu tatizo la fangasi kwa wajawazito baada ya kueleza tatizo la kuwashwa sehemu za siri kunakotokana na fangasi na tukaahidi kwamba tiba na ushauri tutafafanua leo. Kabla ya kueleza tiba tufafanue kwamba kuna baadhi ya mambo yanayosababisha watu kuwashwa sehemu hizo nyeti kama vile kuwa na fangasi tuliowataja katika matoleo yetu yaliyopita. Wengine huwashwa kutokana na kutumia dawa za...
10 years ago
Mwananchi05 Jun
Fahamu tiba ya mionzi kwa maradhi ya saratani (4)
Kama nilivyoeleza wiki iliyopita kuwa tiba ya mionzi nje ya mwili hutolewa kwa uangalifu mkubwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha athari za mionzi kwa mgonjwa ziwe za kiwango cha chini iwezekanavyo.
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Mkakati kuingiza teknolojia tiba ya mfumo wa fahamu Tanzania
Umakini kwa mara nyingine tena umewekwa katika uhitaji wa wataalamu zaidi na kuboresha miundombinu ndani ya sekta ya utabibu wa upasuaji wa mfumo wa fahamu.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Fahamu jinsi mawasiliano bora yanavyoweza kuepusha migogoro na migomo sehemu za kazi
Je unajua kuwa katika maisha ni muhimu kwa kila mtu kuelewana na mwenzake, kwani hii ndiyo njia pekee ya mtu kumuelewa mwenzake na kutambua hisia, matakwa na vitu anavyovipenda na asivyovipenda. Maelewano haya huweza kupatikana kwa mawasiliano.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-K50jvlvIKg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/86mnqHV-Afc/default.jpg)
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI -2
WIKI iliyopita tulieleza matatizo ya fangasi sehemu za siri na jinsi wanavyowasumbua waliokumbwa na maradhi haya, tunaeleza ni wanawake gani hupatwa na tatizo hili. Leo tunaendelea kuwaelimisha na tunaanza kufafanua wale wanaopatwa na ugonjwa huu, endelea: Wengine wanaopatwa na fangasi hawa sehemu za siri ni wale wanaotumia sana dawa za kuua bakteria (antibiotics, steroids) ambazo zina tabia ya kushusha kinga ya mwili.Mabadiliko...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Kukata, kuharibu sehemu za siri — 3
KAMA kawaida tuanze na kishtua mada kutoka kwa washkaji wawili. Mshikaji 1: Juzi Siku ya Wapendanao tulikubaliana na mchumba wangu kwamba kwa kuwa tutaoana; tusifichane siri. Nilimwambia siri yangu kuwa...
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi sehemu za siri. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida Albicans ambayo pia hujulikana kama Yeast Infection au Thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu inayojulikana kama Pharynx, katika kibofu cha mkojo,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania