Serikali kutathmini mfumo wa usajili
Serikali imekusudia kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio mbalimbali muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini, ili kuchukua na kuhifadhi taarifa za kina zinazohusu vizazi, vifo, ndoa na talaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bpdr7fm1SCE/Xk_4Bc5vlhI/AAAAAAALevc/FMlshmYrI8onWt8cwet4wZ4KRgN3sBtMgCLcBGAsYHQ/s72-c/e17ff0ac-672d-475d-9423-652b81637401.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5zKUvaXR0wI/XlaTDDg3I2I/AAAAAAALfmE/0usJyxAUoq8hO8DxH-43JnZnvdNy3UQZgCLcBGAsYHQ/s72-c/f42965bc-9e60-4caf-ad6e-0e6caa59cff2.jpg)
TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5zKUvaXR0wI/XlaTDDg3I2I/AAAAAAALfmE/0usJyxAUoq8hO8DxH-43JnZnvdNy3UQZgCLcBGAsYHQ/s400/f42965bc-9e60-4caf-ad6e-0e6caa59cff2.jpg)
Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.
Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NBAA YAANZISHA MFUMO MPYA WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO(MEMS)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s320/0.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi hiyo imeeleza kuwa mfumo huo unatoa fursa kwa wanafunzi na wanachama kupata huduma mbalimbali zinazotolewa na Bodi ikiwa ni pamoja na kufanya usajili, kufanya malipo mbalimbali, kuhudhuria semina, kununua vitabu na kadhalika kupitia...
9 years ago
MichuziMFUMO MPYA WA USAJILI NA UHIFADHI WA TAKWIMU ZA MATUKIO MUHIMU YA BINADAMU KUANZISHWA TANZANIA BARA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0HPvVqd-8KI/U_cu9-8z2jI/AAAAAAAGBXg/-Z_9Yo_MofU/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
RITA na NBS kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA,Bw. Phillip Saliboko alisema Tathimini hiyo itafanyika kikanda kwa siku 15 kuanzia tarehe Septemba 15 - 30, 2014 na kujumuisha wadau wakubwa wa mambo ya usajili kutoka kwenye baadhi ya...
11 years ago
Habarileo07 Apr
Serikali ‘yabana’ usajili sekondari
KUANZIA sasa, shule yoyote mpya isiyokuwa na maabara ya sayansi na maktaba haitasajiliwa na wala kuruhusiwa kutoa huduma; Serikali imeagiza.
10 years ago
StarTV08 Jan
Serikali kuanzisha daftari la usajili wa waharifu.
Na Winifrida Ndunguru,
Dar Es Salaam.
Serikali inatarajia kuanzisha daftari maalumu litakalosajili wahalifu kuanzia ngazi ya familia ikiwa ni sehemu ya kutunza kumbukumbu ya wahalifu nchini kwa majina ili kurahisisha hatua za kukabiliana na matukio ya uhalifu.
Aidha, imekemea tabia ya baadhi ya vyama vya siasa kukataa matokeo ya uchaguzi bila ya sababu za msingi na kusema hatua hiyo haisaidii kuimarisha demokrasia nchini.
Mkuu wa Mkoa Sadick Meck Sadick alisema wazo la kuanzisha...
10 years ago
Michuzi19 Feb
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Serikali yajipanga kufuta usajili asasi za kijamii