RITA na NBS kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-0HPvVqd-8KI/U_cu9-8z2jI/AAAAAAAGBXg/-Z_9Yo_MofU/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Wakala wa Usajili,Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) itafanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA,Bw. Phillip Saliboko alisema Tathimini hiyo itafanyika kikanda kwa siku 15 kuanzia tarehe Septemba 15 - 30, 2014 na kujumuisha wadau wakubwa wa mambo ya usajili kutoka kwenye baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRITA NA NBS WAENDESHA MAFUNZO YATAKAYOWEZESHA KUFANYA TATHMINI YA KINA YA MATUKIO MUHIMU YA MWANADAMU.
9 years ago
MichuziMFUMO MPYA WA USAJILI NA UHIFADHI WA TAKWIMU ZA MATUKIO MUHIMU YA BINADAMU KUANZISHWA TANZANIA BARA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOdz6tejFMDLqY105we8BGVOYJ32nyLFtE4mbJYmdICYnJsaF4kQsv5SEUl3kSz1ylsrUSqTPNffZlJ5Fr8Y3dfz/Pichana1.jpg)
TAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uhX8ASzOPGw/Vd03AIwfKTI/AAAAAAAH0E4/npviTqtYHNI/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
TAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-uhX8ASzOPGw/Vd03AIwfKTI/AAAAAAAH0E4/npviTqtYHNI/s640/Picha%2Bna%2B1.jpg)
Afisa Mwandamizi anayeshughulikia Sera na maendeleo ya kilimo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Bill na Melinda Gates Bw. Stanley Wood akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam mara baada ya kufanyika kwa kikao cha mazungumzo na viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS) nchini Tanzania kuangalia uwezekano wa taasisi hiyo kusaidia miradi ya ukusanyaji wa Takwimu za kilimo nchini Tanzania.Kushoto kwake ni Mratibu wa miradi wa Taasisi hiyo Bi.Bhramar Dey.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1BuDdVAkRwk/Vd03ArxzbeI/AAAAAAAH0FQ/3DP3AlI46zE/s640/Picha%2Bna%2B2.jpg)
10 years ago
Daily News04 Sep
RITA, NBS for regular updates of statistics
Daily News
Daily News
THE comprehensive assessment on civil registration and vital statistics to be implemented for the first time in the country between September 15 and 30 this year will ease availability of precise data for various development programmes, Morogoro Regional ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zHtnkr4OuF8/VE-k0KRRSjI/AAAAAAAGt0I/ypm0ca5rU9Y/s72-c/unnamed1.jpg)
NAIBU WAZIRI KAIRUKI AFUNGUA MAFUNZO YALIYOANDALIWA NA RITA NA NBS.
Mhe. Kairuki amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuzingatia maelekezo ya Wakufunzi kwa makini ili waweze kuandaa mpango...
10 years ago
Habarileo20 Feb
Taasisi zashauriwa kutumia takwimu za NBS
TAASISI zinazotumia takwimu zimeshauriwa kutumia takwimu zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa maelezo kuwa ndio taasisi pekee inayozalisha takwimu za kweli ambazo zinafaa kwa mipango ya maendeleo.
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Takwimu zote za watafiti sasa kuratibiwa na NBS
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Ukusanyaji wa takwimu za HIV wapingwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10