Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RITA NA NBS WAENDESHA MAFUNZO YATAKAYOWEZESHA KUFANYA TATHMINI YA KINA YA MATUKIO MUHIMU YA MWANADAMU.

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bw. Eliya Ntandu akifungua mafunzo ya siku sita ya maofisa watakaoshiriki katika Tathmini ya kina ya Matukio Muhimu ya Mwanadamu. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Shughuli za Kitakwimu wa NBS, Bi Aldegunda Komba, Mkurugenzi Mkuu wa NBS, Dk. Albina Chuwa, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi Emmy Hudson na Kamishna wa Sensa, Hajjat Amina Mrisho Said.

 Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi. Emmy Hudson akitoa maelezo kuhusu ushiriki wa RITA katika tathmini.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RITA na NBS kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini

Wakala wa Usajili,Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) itafanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA,Bw. Phillip Saliboko  alisema Tathimini hiyo itafanyika kikanda kwa siku 15 kuanzia tarehe Septemba 15 - 30, 2014 na kujumuisha wadau wakubwa wa mambo ya usajili kutoka kwenye baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI KAIRUKI AFUNGUA MAFUNZO YALIYOANDALIWA NA RITA NA NBS.

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mheshimiwa Angellah Kairuki Jana alifungua mafunzo yaliyoandaliwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) na Ofisi ya Taifa ya Takwimu kwa ajili ya kuwajengea uwezo Maofisa wa Serikali watakaoshiriki Kuandaa Mpango Mkakati wa Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kuboresha Mfumo wa Usajili na Upatikanaji wa Takwimu zake Nchini.
Mhe. Kairuki amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuzingatia maelekezo ya Wakufunzi kwa makini ili waweze kuandaa mpango...

 

10 years ago

Daily News

RITA, NBS for regular updates of statistics


Daily News
RITA, NBS for regular updates of statistics
Daily News
THE comprehensive assessment on civil registration and vital statistics to be implemented for the first time in the country between September 15 and 30 this year will ease availability of precise data for various development programmes, Morogoro Regional ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Tathmini ya kina ifanyike baada ya maonyesho DITF

TAKWIMU zinaonyesha kuwa, ushiriki wa watu na kampuni katika Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu Saba Saba, yaliyomalizika hivi karibuni, jijini Dar es Salaam, umeongezeka.

Inaelezwa ushiriki wa wafanyabiashara wa ndani na wa nje umeongezeka kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma.

Ushiriki wa mashirika ya nje ya nchi umeongezeka kutoka 108 hadi kufikia 500, huku ya ndani nayo yakiongezeka kutoka 1,400 hadi 1,750. Nchi zilizoshiriki...

 

10 years ago

GPL

RITA: MADUDU YA KINA SITTI MKIENDELEA KUYAFUMBIA MACHO TUTEGEMEE AIBU ZAIDI! KWENU

Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), bila shaka mko vizuri mnaendelea kusimamia jukumu zito katika taifa letu.Usajili, Ufilisi na Udhamini siyo kazi ndogo. Ni kazi inayohitaji umakini wa hali ya juu maana matokeo ya ufanisi wenu ndiyo majibu ya shughuli nyingi katika nchi. Watu wakitaka kusafiri, kutambulika katika maeneo mbalimbali nyinyi lazima mhusike kutatua.
Mkitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru...

 

10 years ago

Michuzi

TATHMINI YA PAPA KAIJAGE KUHUSU MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI KWA MWAKA 2014…


 Komandoo Hamza Kalala bosi wa Utalii BandBwa' Chuchu (RiP)

 

10 years ago

Vijimambo

Wahariri, Tamwa wakutana kufanya tathmini ukatili unaosababishwa na pombe

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gladness Munuo (katikati) akionesha ripoti ya utafiti juu ya matumizi ya pombe na inavyochangia unyanyasaji wa kijinsia kwa Wilaya ya Kinondoni. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT ambalo ndio wawezeshaji wa utafiti huo. Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT. Ripoti hiyo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gladness Munuo (katikati) akionesha ripoti ya utafiti juu ya matumizi ya pombe na inavyochangia unyanyasaji wa kijinsia kwa Wilaya ya Kinondoni. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT ambalo ndio wawezeshaji wa utafiti huo. Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT. Ripoti hiyo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam.Mwakilishi wa Shirika la IOGT nchini Tanzania (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kabla ya uzinduzi wa ripoti ya matumizi ya pombe na athari katika vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Mwakilishi wa Shirika la IOGT nchini Tanzania (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kabla ya uzinduzi wa ripoti ya matumizi...

 

11 years ago

Michuzi

waendesha bodaboda lindi wapatiwa mafunzo, wapima afya kwa hiari

Na Abdulaziz Video, Lindi Mfuko wa Afya Ya Jamii (CHF)Kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi wamewezesha kupimwa kwa Afya za Madereva Boda boda wa kata ya Kiwalala wilayani Lindi baada ya kufuzu mafunzo ya Udereva. Mafunzo yaliyotolewa chini ya Mpango shirikishi wa Polisi Jamii Mkoani Humo. Akiongea na madereva Boda boda mara baada ya kuwatunuku vyeti vya kufuzu mafunzo hayo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga ametoa wito kwa wahitimu hao kujali...

 

10 years ago

GPL

MTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI

Mtoa mada Kenny Ngomuo akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). Wanahabari wakimsikiliza Kenny Ngomuo. Wanahabari wakifuatilia mafunzo hayo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani