RITA NA NBS WAENDESHA MAFUNZO YATAKAYOWEZESHA KUFANYA TATHMINI YA KINA YA MATUKIO MUHIMU YA MWANADAMU.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bw. Eliya Ntandu akifungua mafunzo ya siku sita ya maofisa watakaoshiriki katika Tathmini ya kina ya Matukio Muhimu ya Mwanadamu. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Shughuli za Kitakwimu wa NBS, Bi Aldegunda Komba, Mkurugenzi Mkuu wa NBS, Dk. Albina Chuwa, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi Emmy Hudson na Kamishna wa Sensa, Hajjat Amina Mrisho Said.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi. Emmy Hudson akitoa maelezo kuhusu ushiriki wa RITA katika tathmini.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRITA na NBS kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA,Bw. Phillip Saliboko alisema Tathimini hiyo itafanyika kikanda kwa siku 15 kuanzia tarehe Septemba 15 - 30, 2014 na kujumuisha wadau wakubwa wa mambo ya usajili kutoka kwenye baadhi ya...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI KAIRUKI AFUNGUA MAFUNZO YALIYOANDALIWA NA RITA NA NBS.
Mhe. Kairuki amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuzingatia maelekezo ya Wakufunzi kwa makini ili waweze kuandaa mpango...
10 years ago
Daily News04 Sep
RITA, NBS for regular updates of statistics
Daily News
RITA, NBS for regular updates of statistics
Daily News
THE comprehensive assessment on civil registration and vital statistics to be implemented for the first time in the country between September 15 and 30 this year will ease availability of precise data for various development programmes, Morogoro Regional ...
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Tathmini ya kina ifanyike baada ya maonyesho DITF
TAKWIMU zinaonyesha kuwa, ushiriki wa watu na kampuni katika Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu Saba Saba, yaliyomalizika hivi karibuni, jijini Dar es Salaam, umeongezeka.
Inaelezwa ushiriki wa wafanyabiashara wa ndani na wa nje umeongezeka kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma.
Ushiriki wa mashirika ya nje ya nchi umeongezeka kutoka 108 hadi kufikia 500, huku ya ndani nayo yakiongezeka kutoka 1,400 hadi 1,750. Nchi zilizoshiriki...
10 years ago
GPLRITA: MADUDU YA KINA SITTI MKIENDELEA KUYAFUMBIA MACHO TUTEGEMEE AIBU ZAIDI! KWENU
10 years ago
MichuziTATHMINI YA PAPA KAIJAGE KUHUSU MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI KWA MWAKA 2014…
Komandoo Hamza Kalala bosi wa Utalii BandBwa' Chuchu (RiP)
10 years ago
Vijimambo20 Mar
Wahariri, Tamwa wakutana kufanya tathmini ukatili unaosababishwa na pombe
11 years ago
Michuziwaendesha bodaboda lindi wapatiwa mafunzo, wapima afya kwa hiari
10 years ago
GPLMTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI