Tathmini ya kina ifanyike baada ya maonyesho DITF
TAKWIMU zinaonyesha kuwa, ushiriki wa watu na kampuni katika Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu Saba Saba, yaliyomalizika hivi karibuni, jijini Dar es Salaam, umeongezeka.
Inaelezwa ushiriki wa wafanyabiashara wa ndani na wa nje umeongezeka kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma.
Ushiriki wa mashirika ya nje ya nchi umeongezeka kutoka 108 hadi kufikia 500, huku ya ndani nayo yakiongezeka kutoka 1,400 hadi 1,750. Nchi zilizoshiriki...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
‘Watanzania changamkieni maonyesho DITF’
WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kibiashara kupitia maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) ambayo kwa mwaka huu yatajumuisha makampuni mengi zaidi ya kimataifa....
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DoIOP816bvA/U5dzGYBF-mI/AAAAAAAFppg/J6YlJ-ijzgA/s72-c/unnamed+(62).jpg)
Watanzania Watakiwa Kuchangamka Fursa za Biashar kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam DITF
10 years ago
MichuziRITA NA NBS WAENDESHA MAFUNZO YATAKAYOWEZESHA KUFANYA TATHMINI YA KINA YA MATUKIO MUHIMU YA MWANADAMU.
10 years ago
Vijimambo25 Feb
HABARI KWA KINA KUHUSIANA NA VURUGU YA WANANCHI BAADA YA POLISI KUUA MTU MMOJA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2634822/highRes/953708/-/maxw/600/-/t54iw4/-/kilolo.jpg)
Wananchi wakiangalia moto uliowashwa na watu wasiojulikana wakati wa vurugu baina ya polisi na wananchi katika mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa jana. Picha ya Mtandao HUKO ILULA MKOANI IRINGA
Kilolo. Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wananchi waliokuwa na hasira walichoma moto magari yaliyokuwa yameegeshwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s72-c/kalage.jpg)
Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s640/kalage.jpg)
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
10 years ago
GPLMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Ifanyike tafakuri kuhusu Kura ya Maoni
10 years ago
Habarileo04 May
Mbowe: Juhudi ifanyike kunusuru Shilingi
MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameomba serikali kufanya juhudi za kunusuru Shilingi isiendelee kushuka.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10