‘Watanzania changamkieni maonyesho DITF’
WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kibiashara kupitia maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) ambayo kwa mwaka huu yatajumuisha makampuni mengi zaidi ya kimataifa....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DoIOP816bvA/U5dzGYBF-mI/AAAAAAAFppg/J6YlJ-ijzgA/s72-c/unnamed+(62).jpg)
Watanzania Watakiwa Kuchangamka Fursa za Biashar kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam DITF
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Tathmini ya kina ifanyike baada ya maonyesho DITF
TAKWIMU zinaonyesha kuwa, ushiriki wa watu na kampuni katika Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu Saba Saba, yaliyomalizika hivi karibuni, jijini Dar es Salaam, umeongezeka.
Inaelezwa ushiriki wa wafanyabiashara wa ndani na wa nje umeongezeka kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma.
Ushiriki wa mashirika ya nje ya nchi umeongezeka kutoka 108 hadi kufikia 500, huku ya ndani nayo yakiongezeka kutoka 1,400 hadi 1,750. Nchi zilizoshiriki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0LjFRpackEo/U5craKGO9dI/AAAAAAAFpkM/7DH7J1xzuqY/s72-c/unnamed1.jpg)
Watanzania Watakiwa Kuchangamka Fursa za Biashara, DITF
![](http://4.bp.blogspot.com/-0LjFRpackEo/U5craKGO9dI/AAAAAAAFpkM/7DH7J1xzuqY/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sA1GSVMtuwA/U5craAeKfEI/AAAAAAAFpkQ/uRxQM1dmjIk/s1600/unnamed.jpg)
Umetolewa mwito kwa Watanzania kuzichangamkia fursa mbalimbali za kibiashara, zinazoletwa na Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, DITF ambapo Maonyesho ya huu, yatajumuisha makampuni...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Watanzania changamkieni huduma ya ‘Jijenge’
BENKI ya CRDB imewataka Watanzania kuchangamkia huduma ya ‘Jijenge’ itakayowawezesha kupata nyumba kwa gharama nafuu. Akizungumza na Tanzania Daima jana katika banda la benki hiyo katika Maonyesho ya 38 ya...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
‘Watanzania changamkieni shindano kilimo cha biashara’
WATANZANIA wenye mawazo ya biashara katika sekta ya kilimo wamehamasishwa kushiriki shindano la awamu ya tatu ya dirisha la ufadhili wa kilimo cha biashara kwa ajili ya kuendeleza sekta hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
NMB: Watanzania changamkieni mikopo ya pikipiki, bajaji
BENKI ya NMB imewataka Watanzania kuchangamkia mkopo wa pikipiki na bajaji, ili kupata nafuu ya usafiri na kuweza kujiajiri kwa kutumia usafiri huo. Ofisa Mikopo wa benki hiyo, Donatila Wapalila,...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Watanzania, Waturuki kushiriki maonyesho Dar
WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kushiriki kwenye maonyesho ya bidhaa za sekta mbalimbali kutoka Uturuki yatakayoanza kesho. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Balozi wa Uturuki nchini hapa,...
10 years ago
GPL10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9JegV8w-qdc/VZEA0id_ZRI/AAAAAAAAVcg/rzb24I_So_A/s72-c/DSC_0020%255B1%255D.jpg)
PPF YAALIKA WATANZANIA MAONYESHO YA BIASHARA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-9JegV8w-qdc/VZEA0id_ZRI/AAAAAAAAVcg/rzb24I_So_A/s640/DSC_0020%255B1%255D.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y75-C01hwMo/VZEA1GFY0CI/AAAAAAAAVcc/L9x605PlyFQ/s640/DSC_1352%255B1%255D.jpg)