MAONYESHO YA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI YAMALIZIKA
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Pinda: Watanzania waishio ughaibuni hawatapiga kura
MWANDISHI WETU, LONDON
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi wakati wa Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Alisema pamoja na kwamba Watanzania hao wanatakiwa kupiga kura wakati wa uchaguzi huo, jambo hilo halitawezekana kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya uchaguzi huo.
Waziri Mkuu Pinda alitoa kauli hiyo jana kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter...
11 years ago
Michuzi09 Apr
NSSF yatambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania waishio Ughaibuni
Kabla ya kuwasili kwake mh Rais shirika la NSSF lilipata fursa ya kutambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania wote waishio Ughaibuni ili kuwawezesha kupata unafuu wa kusafirisha mwili au mazishi pale popote alipo mara anapofariki ughaibuni. Pia Bima hio kusaidia matibabu kwa ndugu na jamaa kadhaa...
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
11 years ago
MichuziMAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WAISHIO UGHAIBUNI KUPENDANA
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wafanya biashara na wajasiriamali kutoka majimbo ya Washington DC, Wilaya ya Colombia, Maryland na Virginia katika ukumbi wa mikutano wa ubalozi wa...
10 years ago
Habarileo07 Jun
JK aaga Watanzania ughaibuni
RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kuaga Watanzania kila anapopata fursa ya kukutana nao, huku mafanikio ya miaka kumi ya uongozi wake yakijidhihirisha katika maeneo mbalimbali, ikiwemo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambako Bajeti ya Serikali kupitia wizara mbalimbali imekuwa ikijadiliwa na kupitishwa.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s72-c/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Watanzania waishio Yemen kurejeshwa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imedhamiria kuwarudisha nchini Watanzania waishio Yemeni, kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh.
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s1600/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Alisema ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa Watanzania hao ambao wengi ni wanafunzi, wanarudi nchini wakiwa salama.
Membe alisema awamu ya kwanza ya kuwarudisha ilifanyika hivi karibuni chini ya uratibu...
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Watanzania waishio nje kupiga kura
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO OMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zxl8Yt4IeaE/VFIozdrCgwI/AAAAAAAGuKI/4qzQIaI9wEE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gZfOZseSK6c/VFIozmAHiOI/AAAAAAAGuKM/OBWPz8mP2R4/s1600/unnamed%2B(22).jpg)