Watanzania waishio Yemen kurejeshwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s72-c/Bernad-Membe-300x214.jpg)
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imedhamiria kuwarudisha nchini Watanzania waishio Yemeni, kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh.
Alisema ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa Watanzania hao ambao wengi ni wanafunzi, wanarudi nchini wakiwa salama.
Membe alisema awamu ya kwanza ya kuwarudisha ilifanyika hivi karibuni chini ya uratibu...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 May
Watanzania wengine 39 kurejeshwa kutoka Yemen
JUHUDI za Serikali za kuendelea kuwarejesha nchini Watanzania walioko katika nchi zenye machafuko, zimeendelea na leo inatarajiwa kupokea kundi la tatu la watanzania 39 kutoka nchini Yemen.
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
10 years ago
Habarileo22 Apr
Watanzania wa Yemen wasimulia mateso yao
SERIKALI imefanikisha kurejea nchini kwa kundi la pili la Watanzania 14 wanaoishi Yemen, ambako kuna machafuko ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.
10 years ago
MichuziWatanzania 18 warejeshwa nchini kutokea Yemen
10 years ago
Habarileo17 Apr
Watanzania 64 waokolewa kwenye machafuko Yemen
SIKU chache baada ya kuwarudisha nchini Watanzania 25 kutoka Yemen, Serikali imetangaza kuwarudisha nyumbani Watanzania wengine 64 waliokuwa huko, ili kuwaepusha na machafuko yanayoendelea nchini humo.
10 years ago
MichuziMH. PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO QATAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6UmQFqx-edg/Uyya8bTscPI/AAAAAAAFVkc/0gObDx57SaQ/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TANGAZO KWA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6UmQFqx-edg/Uyya8bTscPI/AAAAAAAFVkc/0gObDx57SaQ/s1600/unnamed+(3).jpg)
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Forty Avenue, Wembley Park, London, Middx, HA9 9BE, kuanzia saa 10 jioni (16:00).
Katika Mkutano huo, Mhe.Rais Kikwete atazungumzia maendeleo ya nchi yetu na pia kutumia fursa hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO OMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-KAUavBusnT0/VFIpeBNORjI/AAAAAAAGuKo/BLI2MY4soXs/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zxl8Yt4IeaE/VFIozdrCgwI/AAAAAAAGuKI/4qzQIaI9wEE/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gZfOZseSK6c/VFIozmAHiOI/AAAAAAAGuKM/OBWPz8mP2R4/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
GPL