Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wa Yemen wasimulia mateso yao

Watanzania waliokuwa wanaishi nchini Yemen wakiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam baada ya kuwasili jana. (Na Mpigapicha Wetu).SERIKALI imefanikisha kurejea nchini kwa kundi la pili la Watanzania 14 wanaoishi Yemen, ambako kuna machafuko ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mateka wasimulia mateso ya Boko Haram

Mateka waliokolewa kutoka mikononi mwa kundi la Kiislam la Boko Haram wanasema baadhi yao waliuawa kwa kupigwa mawe

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanahabari wasimulia masaibu yao Syria

Wanahabari 4 wa Ufaransa walioachiliwa na mateka wao nchini Syria, wamekuwa wakisimulia masaibu yao walipokuwa mikononi mwa watekaji hao

 

5 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wasioona waliofunga pingu za maisha wasimulia safari yao ya mapenzi

Mpiga picha wa India alipiga picha za wapenzi ambao mapenzi hayakuangalia muonekano.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Watanzania waishio Yemen kurejeshwa


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imedhamiria kuwarudisha nchini Watanzania waishio Yemeni, kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh.

Alisema ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa Watanzania hao ambao wengi ni wanafunzi, wanarudi nchini wakiwa salama. 
Membe alisema awamu ya kwanza ya kuwarudisha ilifanyika hivi karibuni chini ya uratibu...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wengine 39 kurejeshwa kutoka Yemen

JUHUDI za Serikali za kuendelea kuwarejesha nchini Watanzania walioko katika nchi zenye machafuko, zimeendelea na leo inatarajiwa kupokea kundi la tatu la watanzania 39 kutoka nchini Yemen.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania 64 waokolewa kwenye machafuko Yemen

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.SIKU chache baada ya kuwarudisha nchini Watanzania 25 kutoka Yemen, Serikali imetangaza kuwarudisha nyumbani Watanzania wengine 64 waliokuwa huko, ili kuwaepusha na machafuko yanayoendelea nchini humo.

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania 18 warejeshwa nchini kutokea Yemen


Kiongozi wa Msafara wa Watanzania waliorejeshwa nchini kutokea Yemen Bw. Abdul Twahid Said akizungumza na Waandishi wa Habari  kwa niaba ya wenzake mara baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  jijini Dar es Salaam kwa ndege ya Shirika la Emirates. Bw. Said alitoa shukrani kwa jitihada za Serikali za kuwarejesha nchini Watanzania wote kufuatia machafuko yanayoendelea nchini Yemen. Bw. Sabri Hery Omari ambaye ni miongoni mwa Watanzania waliorejea nae...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WALIORUDISHWA TOKA YEMEN WAONGEA NA WANAHABARI


Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha nyumbani jumla ya Watanzania kumi na nane kutoka nchini Yemen kufuatia mapigano yanayoendelea nchini humo ya wenyewe kwa wenyewe.

Watanzania hao ambao wamewasili nchini leo kwa ndege ya shirika la emirates namba EK 725 wameishukuru serikali kutokana na jitihada za haraka zilizofanywa kupitia ubalozi wa Tanzania nchini Oman na kufanikiwa kuwarejesha salama pasipo gharama zozote .

Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba...

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI KUWARUDISHA NCHINI WATANZANIA WALIOPO YEMEN

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

 



Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600              

 

 

                20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

 


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Serikali kuwarudisha nchini Watanzania waliopo Yemen


Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani