Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mateka wasimulia mateso ya Boko Haram

Mateka waliokolewa kutoka mikononi mwa kundi la Kiislam la Boko Haram wanasema baadhi yao waliuawa kwa kupigwa mawe

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lawaachilia mateka 27

Rais wa Cameroon amesema kuwa mateka 27 wakiwemo raia 10 wa Uchina wameachiliwa na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

 

11 years ago

Habarileo

Boko Haram yasambaza mateka wasichana nje

MAMIA ya wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram nchini hapa wanadaiwa kuonekana wakioga na kuwapikia wanamgambo wa kundi hilo.

 

10 years ago

GPL

JESHI LA NIGERIA LAOKOA MATEKA 160 WA BOKO HARAM

Jeshi la Nigeria wakiwa katika msitu wa Sambisa. ...wakiwa katika magari ya jeshi kuelekea kwenye mapigano. JESHI la Nigeria leo limewaokoa mateka wengine 160 waliokuwa wanashikiliwa na wapiganaji wa Kiislam wa Boko Haram katika msitu wa Sambisa ambapo kwa sasa wanahesabiwa kuhakikisha idadi yao. Hii imetokea ikiwa ni oparesheni endelevu ya kulisambalatisha kundi la Boko Haram nchini humo, baada ya Jeshi hilo kuivamia ngome ya...

 

10 years ago

GPL

JESHI LA NIGERIA LAWAOKOA MATEKA 293 WA BOKO HARAM

Jeshi la Nigeria likishambulia ngome za Boko Haram katika msitu wa Sambisa. Wanajeshi wa Nigeria wakiimaklisha ulinzi dhidi ya Boko Haram nchini humo. Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 293 kutoka katika kambi ya Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi hilo limesema kuwa, wasichana hao waliokolewa siyo wale waliotekwa na kundi hilo mwaka jana katika eneo la Chibok....

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wa Yemen wasimulia mateso yao

Watanzania waliokuwa wanaishi nchini Yemen wakiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam baada ya kuwasili jana. (Na Mpigapicha Wetu).SERIKALI imefanikisha kurejea nchini kwa kundi la pili la Watanzania 14 wanaoishi Yemen, ambako kuna machafuko ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasimulia masaibu chini ya B.Haram

BBC imeweza kukutana na watu kadha walioathirika kutokana na vurugu hizi wakiwemo wasichana waliotekwa na kundi hilo

 

10 years ago

GPL

MATEKA 27 WAACHIWA NA BOKO HARAMU

Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya. Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya leo amesema mateka 27 wakiwemo raia 10 wa China na mke wa naibu waziri mkuu wa nchi hiyo wameachiwa na Kundi la Boko Haram. (CREDIT: BBC SWAHILI)

 

11 years ago

BBC

How far does Boko Haram's reach go?

How far could Boko Haram militants extend their reach?

 

10 years ago

TheCitizen

There’s nothing secular about Boko Haram

A reader of last week’s column about Islamist extremism wrote, “It is not really about Islam. It is about things you understand all too well: poverty, alienation, disenfranchisement, and a search for meaning and identity.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani