Wasimulia masaibu chini ya B.Haram
BBC imeweza kukutana na watu kadha walioathirika kutokana na vurugu hizi wakiwemo wasichana waliotekwa na kundi hilo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Wanahabari wasimulia masaibu yao Syria
10 years ago
BBCSwahili04 May
Mateka wasimulia mateso ya Boko Haram
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Masaibu ya VolksWagen yaongezeka
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Masaibu ya wakimbizi wa Darfur
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah
Na Waandishi Wetu, Dar
IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.
Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...
10 years ago
Habarileo22 Apr
Watanzania wa Yemen wasimulia mateso yao
SERIKALI imefanikisha kurejea nchini kwa kundi la pili la Watanzania 14 wanaoishi Yemen, ambako kuna machafuko ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.
10 years ago
Vijimambo12 Feb
MAUAJI YA MTEJA WA GARI. Ndugu wasimulia
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mauwaji-12feb2015.jpg)
Mapya yameibuka katika mauaji ya Farahan Maluli (30), anayedaiwa kuuawa na rafiki yake ambaye ni mtoto wa bosi wake baada ya ndugu wa marehemu kuzungumzia jinsi marehemu alivyokuwa akitoa fedha kwa mtuhumiwa wa mauaji hayo.
Ndugu wa marehemu walifichua siri hiyo wakati wakizungumza na NIPASHE kwenye mazishi ya kijana huyo...
11 years ago
Bongo515 Jul
Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’