Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasimulia masaibu chini ya B.Haram

BBC imeweza kukutana na watu kadha walioathirika kutokana na vurugu hizi wakiwemo wasichana waliotekwa na kundi hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanahabari wasimulia masaibu yao Syria

Wanahabari 4 wa Ufaransa walioachiliwa na mateka wao nchini Syria, wamekuwa wakisimulia masaibu yao walipokuwa mikononi mwa watekaji hao

 

10 years ago

BBCSwahili

Mateka wasimulia mateso ya Boko Haram

Mateka waliokolewa kutoka mikononi mwa kundi la Kiislam la Boko Haram wanasema baadhi yao waliuawa kwa kupigwa mawe

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia

Wakati mtu mmoja kati ya majeruhi walioungua moto juzi kutokana na mlipuko wa lori la petroli akifariki dunia na kufanya waliopoteza maisha kufikia watano, majeruhi wawili jana wamesimulia jinsi mkasa huo ulivyowakuta.

 

9 years ago

BBCSwahili

Masaibu ya VolksWagen yaongezeka

Korea Kusini imetoa ilani ya kufanya uchunguzi upya magari yanayotengenezwa na VolksWagen kufuatia ufichuzi huo huko Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Masaibu ya wakimbizi wa Darfur

Wakimbizi wanaoishi katika kambi moja huko Darfur wanaelezea masaibu yao miaka 5 tangu watimuliwe makwao.

 

9 years ago

Mtanzania

Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah

Mufti-mpya-599x350Na Waandishi Wetu, Dar

IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.

Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.

Akizungumza na waandishi  wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania wa Yemen wasimulia mateso yao

Watanzania waliokuwa wanaishi nchini Yemen wakiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam baada ya kuwasili jana. (Na Mpigapicha Wetu).SERIKALI imefanikisha kurejea nchini kwa kundi la pili la Watanzania 14 wanaoishi Yemen, ambako kuna machafuko ya vita ya wenyewe kwa wenyewe.

 

10 years ago

Vijimambo

MAUAJI YA MTEJA WA GARI. Ndugu wasimulia

Ndugu na majirani pamoja na watu waliohudhuria mazishi wakiwa katika Ibada kabla ya kwenda makaburini , Malamba mawili jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya mazishi.
Mapya yameibuka katika mauaji ya Farahan Maluli (30), anayedaiwa kuuawa na rafiki yake ambaye ni mtoto wa bosi wake baada ya ndugu wa marehemu kuzungumzia jinsi marehemu alivyokuwa akitoa fedha kwa mtuhumiwa wa mauaji hayo.

Ndugu wa marehemu walifichua siri hiyo wakati wakizungumza na NIPASHE kwenye mazishi ya kijana huyo...

 

11 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’

Hit maker wa Muziki Gani, Nay wa Mitego amefunguka kwa kudai kuwa amepandisha gharama za show zake mpaka milioni 5 kwa show za nje ya Dar Es Salaam. Nay wa Mitego akiwa nyumbani kwake na mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima Akizungumza na bongo5 leo, Nay , amesema imembidi apandishe gharama za show zake kutokana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani