Boko Haram yasambaza mateka wasichana nje
MAMIA ya wasichana waliotekwa na kundi la Boko Haram nchini hapa wanadaiwa kuonekana wakioga na kuwapikia wanamgambo wa kundi hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Boko Haram lawaachilia mateka 27
Rais wa Cameroon amesema kuwa mateka 27 wakiwemo raia 10 wa Uchina wameachiliwa na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili04 May
Mateka wasimulia mateso ya Boko Haram
Mateka waliokolewa kutoka mikononi mwa kundi la Kiislam la Boko Haram wanasema baadhi yao waliuawa kwa kupigwa mawe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLae1y39FnJXDInyDWJNW90rid*uQUi6FfHkgFhE4nx6w4LGvzR*3DWvjLo3jeQuRlHOhJhas700njGVySRFVsJ46/gd4bQ2EfEO4bl5BEUTJ385L9.jpg?width=650)
JESHI LA NIGERIA LAOKOA MATEKA 160 WA BOKO HARAM
Jeshi la Nigeria wakiwa katika msitu wa Sambisa. ...wakiwa katika magari ya jeshi kuelekea kwenye mapigano. JESHI la Nigeria leo limewaokoa mateka wengine 160 waliokuwa wanashikiliwa na wapiganaji wa Kiislam wa Boko Haram katika msitu wa Sambisa ambapo kwa sasa wanahesabiwa kuhakikisha idadi yao. Hii imetokea ikiwa ni oparesheni endelevu ya kulisambalatisha kundi la Boko Haram nchini humo, baada ya Jeshi hilo kuivamia ngome ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS6qVaXg6RqBKPO3-3ZhQeb-sKroCBP6yITFMj1VQF893yXb16QqbWHcmBCsWpQ81jsbuTqnR*1Pa9daHkD5PfEV/Nigerianarmynaijaarena.com_2.jpg?width=650)
JESHI LA NIGERIA LAWAOKOA MATEKA 293 WA BOKO HARAM
Jeshi la Nigeria likishambulia ngome za Boko Haram katika msitu wa Sambisa. Wanajeshi wa Nigeria wakiimaklisha ulinzi dhidi ya Boko Haram nchini humo. Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 293 kutoka katika kambi ya Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, Kaskazini-Mashariki mwa nchi hiyo. Jeshi hilo limesema kuwa, wasichana hao waliokolewa siyo wale waliotekwa na kundi hilo mwaka jana katika eneo la Chibok....
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Wasichana 60 wakwepa Boko Haram
Vyombo vya usalama Nigeria vimesema kuwa wasichana 60 wamejikomboa na kukimbia kambi ya Boko Haram walikozuiliwa kwa nguvu
11 years ago
BBCSwahili05 May
Boko Haram wakiri kuteka wasichana
Kundi Boko Haram linasema kuwa ndilo lililowateka nyara wasichana 200 ambao hawajulikani waliko kwa wiki tatu sasa.
11 years ago
BBCSwahili19 Apr
Wasichana 14 zaidi watoroka Boko Haram
Kamishna wa elimu katika jimbo la Borno, Nigeria asema wasichana 14 zaidi wamefanikiwa kutoroka katika mikono ya Boko Haram.
11 years ago
Michuzi12 May
Boko Haram Waonyesha wasichana waliotekwa
![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/12/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKq5*t5eazyrGkS0aempqwruao9729FKCo4M6VSpcBMUiqfqQv4VY6XPnYd3cMIk*b4FTqLtw1VgvEPwSZ1A13p/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg?width=600)
BOKO HARAM WAONYESHA WASICHANA WALIOTEKWA
Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara. Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania