Wahariri, Tamwa wakutana kufanya tathmini ukatili unaosababishwa na pombe
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Gladness Munuo (katikati) akionesha ripoti ya utafiti juu ya matumizi ya pombe na inavyochangia unyanyasaji wa kijinsia kwa Wilaya ya Kinondoni. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT ambalo ndio wawezeshaji wa utafiti huo. Wa kwanza kulia ni Mwakilishi wa Shirika la IOGT. Ripoti hiyo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Shirika la IOGT nchini Tanzania (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kabla ya uzinduzi wa ripoti ya matumizi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Mitalaa ya kupinga ukatili ipelekwe shuleni - Tamwa
11 years ago
Habarileo07 Mar
Tamwa wataka jamii kukabili ukatili wa kijinsia
CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), leo kinaungana na wanawake kote nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani huku kikitaka jamii ielekeze nguvu katika kupinga ukiukwaji wa haki za binadamu.
11 years ago
GPL
TAMWA YAWAPONGEZA WANAHABARI UANDISHI HABARI ZA UKATILI WA KIJINSIA
11 years ago
Michuzi
Viongozi Watendaji wa Serikali wakutana kujadili mifumo ya ufuatiliaji na tathmini
“Napenda kuishukuru sana Taasisi ya Uongozi, na Mtendaji wake Mkuu, Prof. Joseph Semboja, kwa mchango wao mkubwa...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi (WCF), wakutana na wahariri, Dar

MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015
Na K-VIS MEDIA
MFUKO wa Fidia Kwa Wafanyakazi, (WCF), umekutana na Wahariri wa vyombo vya Habari nchini, kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015, kwa nia ya kujitambulisha na kuelezea mikakati yake ya kiutendaji na majukumu iliyo...
10 years ago
Michuzi
MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM




11 years ago
Dewji Blog24 Sep
UN wakutana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari kujadili ushirikiano†baina yao
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkazi wa WFP nchini Bw.Richard Ragan (katikati) pamoja na Mwakilishi wa mkazi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Dk Rufaro Chatora (kulia) kabla ya kuanza kwa mkutano wa kuboresha ushirikiano kati ya Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Shirika la Umoja wa...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wakutana na Wahariri wa vyombo vya habari Jijini Dar
Afisa habari wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bestina Magutu( kulia)akiwa tambulisha Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo kwa wahariri wa vyombo vya Habari nchini katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.ikiwa ni mahususi kwa wahariri vyombo mbalimbali nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Fadhili Manongi akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini (hawapo pichani) juu ya Kanuni na taratibu za Mamlaka...