Mitalaa ya kupinga ukatili ipelekwe shuleni - Tamwa
Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), kimeitaka Serikali kuingiza shuleni mitalaa ya kupinga unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto na wanawake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Mar
Tamwa wataka jamii kukabili ukatili wa kijinsia
CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), leo kinaungana na wanawake kote nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani huku kikitaka jamii ielekeze nguvu katika kupinga ukiukwaji wa haki za binadamu.
11 years ago
GPLTAMWA YAWAPONGEZA WANAHABARI UANDISHI HABARI ZA UKATILI WA KIJINSIA
10 years ago
Vijimambo20 Mar
Wahariri, Tamwa wakutana kufanya tathmini ukatili unaosababishwa na pombe
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
TAMWA yawapongeza wakazi wa Mbezi Msuguri kwa kupinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia
Mkurugenzi wa TAMWA, Valerie Msoka.
Na Mwandishi wetu
CHAMA Cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimewapongeza wakazi wa mtaa wa Msigwa-Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Saaam, kwa kuchukua hatua za pamoja kulaani kitendo cha kulawiti kilichofanywa na Joachim Anset Shirima (40) kwa mtoto mwenye umri wa miaka (4).
Taarifa ilitolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa TAMWA, Valerie Msoka, alisema Shirima alifanya tukio hilo hivi karibuni.
Alisema tukio hilo...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
TAS kuandamani kupinga ukatili
CHAMA cha Albino Tanzania (TAS), Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (Shivyawata) wameandaa maandamano ya amani kulaani mauaji ya watu...
10 years ago
Vijimambo04 Dec
Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia TGNP
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
PWMO yajikita kupinga ukatili wa kijinsia
WANAHABARI wanawake mkoani Pwani wamezindua chao kinachofahamika kwa jina la PWMO. Uzinduzi huo ulikuwa na kaulimbiu ya kupinga ukatili wa kijinsia unaofanywa katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya mkoa...