Takwimu zote za watafiti sasa kuratibiwa na NBS
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk Albina Chuwa amefafanua kuwa Sheria ya Takwimu haitayazuia mashirika wala watu binafsi kufanya tafiti na kukusanya takwimu, isipokuwa watatakiwa kuhakikisha takwimu zao zinaratibiwa na ofisi yake kabla ya kuzitoa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 May
‘Sheria ya Takwimu haiwazuii watafiti’
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk. Albina Chuwa, amesema Sheria mpya ya Takwimu ya Mwaka 2015 haina lengo la kuzuia taasisi au watu binafsi kufanya utafiti wao nchini ila inalenga kuweka misingi imara ya shughuli za takwimu na utafiti.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana alipotoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu kutungwa sheria hiyo mpya na Bunge Machi mwaka huu.
Dk. Chuwa alisema kuanzishwa kwa sheria hiyo kunalenga kutoa...
10 years ago
Habarileo20 Feb
Taasisi zashauriwa kutumia takwimu za NBS
TAASISI zinazotumia takwimu zimeshauriwa kutumia takwimu zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa maelezo kuwa ndio taasisi pekee inayozalisha takwimu za kweli ambazo zinafaa kwa mipango ya maendeleo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9FDYYUVJyPY/VCVtHhnnAgI/AAAAAAAGl_U/_aQCc-QcOwk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
NBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZA (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-9FDYYUVJyPY/VCVtHhnnAgI/AAAAAAAGl_U/_aQCc-QcOwk/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OT-pK-wTY_Q/VCVtHwCctdI/AAAAAAAGl_g/-lriWbUDRyQ/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mClk6LlNRytRPC1UnR-6DIjjFcUluCX9lyG-v00ccuj6lf82YSoREKcZ-NXeD1hVuIE3lrzyElV6gfry0R4F9syGBSSF7r7r/Photo1.jpg)
NBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZI (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0HPvVqd-8KI/U_cu9-8z2jI/AAAAAAAGBXg/-Z_9Yo_MofU/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
RITA na NBS kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA,Bw. Phillip Saliboko alisema Tathimini hiyo itafanyika kikanda kwa siku 15 kuanzia tarehe Septemba 15 - 30, 2014 na kujumuisha wadau wakubwa wa mambo ya usajili kutoka kwenye baadhi ya...
9 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) YASEMA PATO LA TAIFA LIMEONGEZA KWA ASILIMIA 7.9
9 years ago
VijimamboOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) YASEMA PATO LA TAIFA LIMEONGEZA KWA AILIMIA 7.9
Na Dotto MwaibaleOFISI ya Taifa ya...
11 years ago
Mwananchi08 May
Halmashauri zote sasa kubanwa
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Taaluma zote sasa zimekuwa harijojo?
HIVI ni taaluma gani sasa imebaki na heshima zake enyi waja wa Mola? Kila mahali naona sasa kuna vihoja na mahoka. Kama siasa ni taaluma, basi huko ndiko kulishaharibika tangu...