Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taaluma zote sasa zimekuwa harijojo?

HIVI ni taaluma gani sasa imebaki na heshima zake enyi waja wa Mola? Kila mahali naona sasa kuna vihoja na mahoka. Kama siasa ni taaluma, basi huko ndiko  kulishaharibika tangu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Taaluma vyuo vikuu sasa kwa mtandao


NA WILLIAM SHECHAMBO
HATIMAYE serikali imezindua mradi wa ujenzi wa mtandao wa Internet kwa vyuo vya elimu ya juu na taasisi za utafiti nchini, ambao utaziunganisha na kuziwezesha kushirikiana katika masuala ya kitaaluma.
Mradi huo uliofadhiliwa na Benki ya Dunia, mara utakapokamilika, unatarajiwa kuziunganisha taasisi 28 huku zingine zikipewa fursa ya kujiunga na mradi huo kwa kadri inavyowezekana.
Serikali ya awamu ya nne imekuwa ikiweka mkazo mkubwa katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na...

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri zote sasa kubanwa

Halmashauri zote nchini zimetakiwa kutenga bajeti ya mwaka huu ya asilimia 60 ya makusanyo yake ya ndani kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Takwimu zote za watafiti sasa kuratibiwa na NBS

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk Albina Chuwa amefafanua kuwa Sheria ya Takwimu haitayazuia mashirika wala watu binafsi kufanya tafiti na kukusanya takwimu, isipokuwa watatakiwa kuhakikisha takwimu zao zinaratibiwa na ofisi yake kabla ya kuzitoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

AZAM FC: Nguvu zote sasa vita ya ubingwa

HUWEZI kutaja timu nne bora za soka nchini bila Azam FC ambayo kutokana na soka yake ya uhakika, wamejizolea sifa kubwa sio tu katika Ligi Kuu Tanzania Bara, pia katika...

 

10 years ago

GPL

AJALI ZA BARABARANI ZIMEKUWA KAMA MCHEZO - LOWASSA

Mbunge wa Wilaya ya Temeke, Abbas Zuberi Mtemvu (kushoto) na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa (kulia) baada ya kumaliza matembezi ya kupinga mauaji ya Albino. Mh Lowassa akisalimiana na wabunge wa mkoa wa Dar es Salaam.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini familia zimekuwa 'zikiwauwa kwa heshima' watoto wao wa kike Pakistani?

Wanaume pia hulengwa , na ndugu za wanawake ambao wanadaiwa kushiriki nao katika uhusiano wa kimapenzi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Barua kutoka Afrika: Jumbe za WhatsApp kwa akinamama wa Nigeria zimekuwa kero

Muandishi Adaobi Tricia Nwaubani anasema sasa watoto wanataka kuwafungia mama zao wasiwatumie jumbe za WhatsApp.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani