AZAM FC: Nguvu zote sasa vita ya ubingwa
HUWEZI kutaja timu nne bora za soka nchini bila Azam FC ambayo kutokana na soka yake ya uhakika, wamejizolea sifa kubwa sio tu katika Ligi Kuu Tanzania Bara, pia katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 May
EAC kukabili ugaidi kwa nguvu zote
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema nchi wanachama katika jumuiya hiyo, zitatumia rasilimali zao kukabiliana na ugaidi na uhalifu unaozikabili.
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Tuzikabili changamoto hizi za afya kwa nguvu zote
Jumanne wiki hii Bunge lilipitisha bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Ilipitishwa japo ilikuwa kwa mbinde.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Azam FC yautema ubingwa
Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Azam wamevuliwa ubingwa huo baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa KCCA katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza uliochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England
Chelsea ina nafasi ya pekee ya kufikisha pointi nane dhidi ya Manchester City leo katika mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4Ta8QizSMJK4D0kInfppjLuYRSeNYVb6KYoOMcAI-NEIT8Xzq7RyIbuQ0EQGc*sJQQTA75hSgGFLGWeg187seUkn/azam.jpg?width=550)
Azam FC hiyoo kwenye ubingwa
Kikosi cha Azam FC. Na Sweetbert Lukonge
UWEZEKANO wa Azam FC kuandika historia ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza upo karibu, hiyo ni baada ya kufanikiwa kuifunga Simba kwa mabao 2-1 na kuongoza msimamo wa ligi hiyo kwa tofauti ya pointi saba. Azam ambayo haijapoteza mechi yoyote msimu huu, imeonyesha kweli imejipanga baada ya kutoa kipigo hicho kwa Simba ambayo mwaka huu imekuwa ikipepesuka, hivyo...
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Azam yaiachia ubingwa Yanga
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Azam wameanza kukata tamaa ya kutetea ubingwa wao msimu huu, baada ya kuweka bayana kwamba malengo yao ni kuhakikisha Simba haiwaondoi katika nafasi ya pili.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s72-c/13.jpg)
MAGUFULI AHUTUBIA KISIWANI PEMBA LEO,AAHIDI KUULINDA MUUNGANO KWA NGUVU ZOTE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd_b8VT1dhU/Vh_UpZPNvQI/AAAAAAADA9o/ZIl07kYZWe8/s640/13.jpg)
Katika mkutano huo wa Kampeni,Dkt Magufuli ameahidi kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano,atadumisha na kuulinda Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ulioanzishwa na Waasisi wetu akiwemo Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere pamoja na Abeid...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Pluijm: Sasa ni ubingwa tu
Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema kwa sasa anataka kushinda mechi zote zilizobaki za Ligi Kuu Bara ili kutwaa ubingwa huo huku akidai mechi yao na Mgambo JKT ilikuwa ngumu ingawa walipata ushindi wa mabao 2-0 juzi kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini hapa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania