Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC hiyoo kwenye ubingwa

Kikosi cha Azam FC. Na Sweetbert Lukonge
UWEZEKANO wa Azam FC kuandika historia ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza upo karibu, hiyo ni baada ya kufanikiwa kuifunga Simba kwa mabao 2-1 na kuongoza msimamo wa ligi hiyo kwa tofauti ya pointi saba. Azam ambayo haijapoteza mechi yoyote msimu huu, imeonyesha kweli imejipanga baada ya kutoa kipigo hicho kwa Simba ambayo mwaka huu imekuwa ikipepesuka, hivyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Azam FC yautema ubingwa

Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Azam wamevuliwa ubingwa huo baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa KCCA katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza uliochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yaiachia ubingwa Yanga

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Azam wameanza kukata tamaa ya kutetea ubingwa wao msimu huu, baada ya kuweka bayana kwamba malengo yao ni kuhakikisha Simba haiwaondoi katika nafasi ya pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam wamestahili ubingwa Ligi Kuu

TIMU ya soka ya Azam, imetawazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2013/14, baada ya kufikisha pointi 62 katika mechi 26 walizocheza katika ligi hiyo iliyoanza Agosti...

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam kutetea ubingwa Tanzania bara

Timu ya Azam ina imani ya kutetea ubingwa wa Tanzania Barakwa kuwakaribisha wagonga nyundo kutoka jijini Mbeya, Mbeya City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yaipa Yanga nafasi ya ubingwa

Kichekochatawala Yanga baada ya kuitesa Azam FC katika mechi ya tatu na kuipa Yanga nafasi ya ubingwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DRFA yaipongeza Azam ubingwa VPL

CHAMA cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), kimeipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kwa mara ya kwanza katika historia yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AZAM FC: Nguvu zote sasa vita ya ubingwa

HUWEZI kutaja timu nne bora za soka nchini bila Azam FC ambayo kutokana na soka yake ya uhakika, wamejizolea sifa kubwa sio tu katika Ligi Kuu Tanzania Bara, pia katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani