Azam kutetea ubingwa Tanzania bara
Timu ya Azam ina imani ya kutetea ubingwa wa Tanzania Barakwa kuwakaribisha wagonga nyundo kutoka jijini Mbeya, Mbeya City.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara
TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Azam bingwa Tanzania Bara
Kilabu ya Azam FC imetwaa Ubingwa Tanzania bara baada ya kuilaza Mbeya City bao 2-1 .
11 years ago
BBCSwahili06 Jan
ManU yaingiwa wasiwasi kutetea ubingwa
Mabingwa wa ligi kuu ya England Manchester United imeingiwa wasiwasi kuhusu uwezekano wa kutetea taji hilo mwaka huu
11 years ago
Azam FC![](http://2.bp.blogspot.com/-mxwKyIUv9_8/U1Km6DLdKSI/AAAAAAABJXg/kyZlBuM3w2Y/s1600/Azam+Kombe.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04au35NS4kr3-n4gPeWZ-86QuQ9FpDJaUBUvQOvDLZInuFKMRDjeytK9zx3EY02Hu6bQyfsZM*vbgaxvwzBpsfoJz/ubingwa.jpg?width=650)
Ubingwa Bara majibu kesho
Kikosi cha timu ya Mbeya City. Na Mwandishi Wetu
LIGI Kuu Tanzania Bara, leo Jumamosi na kesho Jumapili inatarajiwa kuendelea kwenye viwanja mbalimbali nchini huku baadhi ya timu zikiwa katika harakati za kusaka ubingwa na nyingine zikipigania kutoshuka daraja.…
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w8qZvZaS9us/VUpReV155nI/AAAAAAAHVwM/cByfPFyn_2g/s1600/IMG_9943.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Yanga yachanja mbuga ubingwa Bara
Yanga imezidi kuchanja mbuga kuelekea katika ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara kwa kuwafunga Mbeya City 3-1.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Ubingwa Bara haujaandikwa jina la timu
Ukifuatilia kelele za mashabiki unaweza kupasuka ngoma za masikio. Wapo wanaofurahi Azam FC kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu na wengine hawataki hata kusikia habari za wanalambalamba hao.
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Makocha Bara waahidi ubingwa Kombe la Mapinduzi
>Ubingwa lazima! ni kauli mbiu ya wachezaji wa Tanzania Bara waliyokwenda nayo visiwani Zanzibar tayari kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi inayofunguliwa asubuhi hii.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania