Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubingwa Bara majibu kesho

Kikosi cha timu ya Mbeya City. Na Mwandishi Wetu
LIGI Kuu Tanzania Bara, leo Jumamosi na kesho Jumapili inatarajiwa kuendelea kwenye viwanja mbalimbali nchini huku baadhi ya timu zikiwa katika harakati za kusaka ubingwa na nyingine zikipigania kutoshuka daraja.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ubingwa Bara haujaandikwa jina la timu

Ukifuatilia kelele za mashabiki unaweza kupasuka ngoma za masikio. Wapo wanaofurahi Azam FC kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu na wengine hawataki hata kusikia habari za wanalambalamba hao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yachanja mbuga ubingwa Bara

Yanga imezidi kuchanja mbuga kuelekea katika ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara kwa kuwafunga Mbeya City 3-1.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam kutetea ubingwa Tanzania bara

Timu ya Azam ina imani ya kutetea ubingwa wa Tanzania Barakwa kuwakaribisha wagonga nyundo kutoka jijini Mbeya, Mbeya City.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Prisons ianze kuja na majibu siyo maswali

Wengi waliamini kuwa katika msimu uliopita, 2014/15 Prisons ingekuja na majibu ya ubovu wao wa msimu wa 2013/14 kwa kufanya vizuri zaidi, cha ajabu haikuja na majibu na kwa mwaka wa pili mfululizo ilinusurika katika siku ya mwisho ya msimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha Bara waahidi ubingwa Kombe la Mapinduzi

>Ubingwa lazima! ni kauli mbiu ya wachezaji wa Tanzania Bara waliyokwenda nayo visiwani Zanzibar tayari kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi  inayofunguliwa asubuhi hii.

 

10 years ago

GPL

YANGA SC WALIVYOKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU BARA

Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014 - 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam jana. Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akimkabidhi cheti cha salamu za pongezi za ubingwa kutoka Fifa, Mwenyekiti wa timu hiyo… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara

TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM YAJA NA MAJIBU YA WATU KUENDELEA NA SHUGHULI ZA UZALISHAJI LICHA YA KUWEPO KWA VIRUSI VYA CORONA KATIKA BARA LA AFRIKA


Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Liquid Telecom Nic Rudnick amesema kwamba katika kipindi hiki ambacho Dunia inakabiliwa na virusi vya COVID-19 ( Coronavirus) na kusabababisha shughuli nyingi za kiuchumi kusimama katika nchi mbalimbali wao kipaumbele cha cha kampuni hiyo kwa sasa ni kusaidia na kulinda afya, ustawi na usalama wa wafanyikazi, wateja, washirika na umma mkakati wa kudumisha mwendelezo wa biashara katika viwango vyote.

Amesisitiza katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani