Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuzikabili changamoto hizi za afya kwa nguvu zote

Jumanne wiki hii Bunge lilipitisha bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Ilipitishwa japo ilikuwa kwa mbinde.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

EAC kukabili ugaidi kwa nguvu zote

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema nchi wanachama katika jumuiya hiyo, zitatumia rasilimali zao kukabiliana na ugaidi na uhalifu unaozikabili.

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI AHUTUBIA KISIWANI PEMBA LEO,AAHIDI KUULINDA MUUNGANO KWA NGUVU ZOTE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Pemba jioni ya leo kwenye kutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Gombani ya Kale mjini Pemba.
Katika mkutano huo wa Kampeni,Dkt Magufuli ameahidi kuwa akichaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano,atadumisha na kuulinda Muungano wa Zanzibar na Tanganyika ulioanzishwa na Waasisi wetu akiwemo Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere pamoja na Abeid...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ahaidi kusimamia kazi za Wasanii kwa nguvu zote

nape-7939

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na wadau mbalimbali kutoka BASATA,COSOTA,BODI YA FILAMU,CMEA NA WASANII jana jijini Dar es Salaam juu ya kuendelea kusimamia haki ya wasanii  na kuhakikisha kila msanii anapata anachostahili kupitia Sanaa yake na kwamba serikali  imeweka nguvu kubwa katika eneo hilo.

waziri wa viwanda-7920

Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage (kulia) akiongea waandishi wa habari kuhusu vyombo vya habari(television na Redio) kuanza kulipia...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yatoa changamoto kwa watafiti wa sayansi ya afya

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya na ustawi wa jamii Dk. Donan Mbando akiwa kwenye picha ya pamoja na madaktari na viongozi wa chuo kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili (MUHAS)  mara baada ya kufunga mkutano mkuu watatu wa sayansi ya afya uliondaliwa na chuo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Kushoto kwake ni Makamu mkuu wa MUHAS, Prof. Ephata Kaaya.  Katibu Mkuu Wizara ya Afya na ustawi wa jamii Dk. Donan Mbando akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

MBEGU ZA MABOGA KWA AFYA YA MOYO, MIFUPA NA NGUVU ZA KIUME-2

Leo naendelea kuelezea faida za mbegu za maboga ambapo utafiti uliofanywa kupitia wanyama ulionesha kuwa mbegu hizo husaidia kurekebisha kiwango cha nyongo (Insulin) inayohusika na kulinda kiwango cha sukari mwilini kisipande au kushuka sana, hivyo kujiepusha na tatizo la kisukari. UKOMO WA HEDHI Utafiti unaonesha pia kuwa mafuta yatokanayo na mbegu za maboga huondoa kolestro mbaya mwilini pamoja na kushusha shinikizo la juu la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Muungano una changamoto pande zote’

MJUMBE wa Bunge la Maalumu la Katiba, Dk. Hussein Mwinyi, amesema muundo wa Muungano uliopo una changamoto kwa pande zote mbili. Alisema kwa upande wa Zanzibar changamoto kubwa zipo katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AZAM FC: Nguvu zote sasa vita ya ubingwa

HUWEZI kutaja timu nne bora za soka nchini bila Azam FC ambayo kutokana na soka yake ya uhakika, wamejizolea sifa kubwa sio tu katika Ligi Kuu Tanzania Bara, pia katika...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA KITUO CHA AFYA MIWANI KUONA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO KITUONI HAPO.

    x5Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Miwani baada ya kusikiliza matatizo yanayokikabili kituo cha Afya cha Miwani.x4Naibu Waziri wa Afya Mhmoud Thabit Kombo akiwasilikiza wananchi wa Miwani wakati alipofanya viara ya kutembelea kituo cha Afya cha Kijiji hicho kujua matatizo yanayokikabili kituo hicho,  (kushoto) Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Mohammed Saleh Jidawi. x6Daktari dhamana Kanda ya Unguja Dkt. Fadhil Mohd Abdalla akitoa ufafanunuzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani