Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI SUPERMARKET GANI BORA KULIKO ZOTE KATI YA HIZI? TUPE NA SABABU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Young Killer asema video ya ‘Umebadilika’ itakuwa bora kuliko zote alizowahi kufanya

Rapper Young Killer Msodoki, amedai kuwa video ya wimbo wake ‘Umebadilika’ aliomshirikisha Banana Zorro itakuwa bora zaidi kuliko video zote alizowahi kufanya. Video hiyo iliyoongozwa na Hefemi Studios imefanyika katika visiwa vya Mbudya jijini Dar es Salaam. Msodoki ameiambia Kikwetu Blog kuwa uzuri wa video hiyo utachangiwa na mandhari aliyoyatumia ambayo yatapendezeshwa na muonekano wa […]

 

10 years ago

Vijimambo

DARTZ SUV GHALI KULIKO ZOTE DUNIANI


Dartz ndiyo SUV ghali kuliko zote Duniani inatengenezwa na kampuni ya Dartz Motorz ya Urusi SUV hii inauzawa kwa $225,000

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL SMARTIFONIKA YALETA SIMU MPYA SOKONI NAFUU KULIKO ZOTE

 Afisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Bi Dangio Kaniki akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati Airtel ilipozindua  smartifoni mpya ijulikanayo kama Magnus Bravo Z10zitakazopatikata katika maduka yote ya Airtel zikiwa zimeunganishwa na ofa ya Smartifonika  kutoa  muda wa maongezi wa dakika 150, 150MB na SMS 150 kwa kipindi cha miezi sita. Kulia ni bi Anethy Muga meneja masoko wa Airtel. Hafla ya uzinduzi imefanyika jana katika makao makuu ya Airtel Dar es salaam Meneja...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuzikabili changamoto hizi za afya kwa nguvu zote

Jumanne wiki hii Bunge lilipitisha bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Ilipitishwa japo ilikuwa kwa mbinde.

 

9 years ago

MillardAyo

Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!!

Ikiwa bado tunaelekea katika kipindi cha dirisha dogo la usajili la mwezi January kwa vilabu vya barani Ulaya, bado zile headlines za kocha huyu ataenda huku na mchezaji huyu ataenda kule zinachukua nafasi. Aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho, December 30 zimetoka stori za klabu ya kibrazil imeomba kutaka kumuajiri. Ibis […]

The post Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!! appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Kulikuwa na sababu gani ya kuanzisha Ewura?

>Mara kwa mara nimekuwa nikijiuliza sababu hasa ya kuanzishwa kwa baadhi ya mamlaka zinazodhibiti ubora, ushindani na kutetea uchumi na masilahi ya mlaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani