Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kulikuwa na sababu gani ya kuanzisha Ewura?

>Mara kwa mara nimekuwa nikijiuliza sababu hasa ya kuanzishwa kwa baadhi ya mamlaka zinazodhibiti ubora, ushindani na kutetea uchumi na masilahi ya mlaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kimya hiki Tanesco kwa sababu gani?

Hizi si habari njema kwa Watanzania, hasa watumiaji wa nishati ya umeme ambao hivi sasa wanaishi gizani kutokana na mgawo usio rasmi wa nishati hiyo ulioanza kimya kimya katika siku za karibuni.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ewura yakamilisha kanuni

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imesema kuwa imetayarisha na kukamilisha kanuni ndogo za uendeshaji wa biashara ya mafuta nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na mamlaka hiyo, kanuni hizo ndogo ni za uendeshaji wa biashara ya mafuta ya vilainishi (lubricants).

“Kanuni hizo zipo tangu mwaka 2014 na zilichapishwa kwenye gazeti la serikali namba 64/2014,” inasomeka taarifa hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu...

 

10 years ago

TheCitizen

There might be oil theft, says Ewura

>The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) has conceded that there might be huge theft of petroleum products from pipelines connected to tanks of oil marketing companies.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masebu aaga EWURA

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Haruna Masebu, amewaaga rasmi Watanzania na wanahabari baada ya kutumikia mamlaka hiyo kwa miaka minane. Masebu alitumia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngamlagosi Mkurugenzi Mkuu Ewura

WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe,  amemteua Felix Ngamlagosi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), kuanzia Februari mosi mwaka huu. Ngamlagosi anachukua...

 

10 years ago

GPL

TAARIFA KWA UMMA EWURA

  UAMUZI WA BODI YA WAKURUGENZI KUHUSU MAOMBI YA TPDC YA  TOZO ZA HUDUMA ZA KUCHAKATA NA KUSAFIRISHA GESI ASILIA 1.                  Tarehe 1 Septemba 2014, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ilipokea ombi Na. TR-G-14-039 kutoka kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhusu kanuni ya kukokotoa tozo za huduma ya kuchakata na kusafirisha Gesi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masebu astaafu akijivunia EWURA

“NASUBIRI kwa hamu kuona katiba ya mwisho itakuaje halafu niangalie ni fursa gani naweza kufanya baada ya hapo.” Hayo ni maneno ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani