Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masebu astaafu akijivunia EWURA

“NASUBIRI kwa hamu kuona katiba ya mwisho itakuaje halafu niangalie ni fursa gani naweza kufanya baada ya hapo.” Hayo ni maneno ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Masebu aaga EWURA

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Haruna Masebu, amewaaga rasmi Watanzania na wanahabari baada ya kutumikia mamlaka hiyo kwa miaka minane. Masebu alitumia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MASEBU: EWURA tumefanya mageuzi makubwa 

HARUNA Masebu si jina geni masikioni mwa wengi. Amekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa miaka minane na sasa amestaafu.  Alianza kazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Li Na astaafu tenisi

Mchezaji nambari moja wa Tennis nchini China LI Na amestaafu

 

10 years ago

Habarileo

CAG Utouh astaafu

ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa SpringBoks astaafu

Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rio Ferdinand astaafu

Aliyekuwa mlinzi wa timu ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand amestaafu kucheza kandanda ya kulipwa.

 

10 years ago

GPL

DCI MNGULU ASTAAFU

Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu. Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya. Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa… ...

 

10 years ago

GPL

MCHEZAJI TENISI LI NA ASTAAFU

Li Na. MCHEZAJI wa kwanza wa tenisi nchini China kushinda mashindano ya Grand Slam, Li Na, amestaafu kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya muda mrefu. Li, mwenye umri wa miaka 32 ambaye ni staa namba 6 kwa mchezo huo duniani, alisema kuwa anaondoka katika mashindano ya tenisi kwa sababu ya majeraha ya muda mrefu, hasa kwenye magoti yake. Alishinda Grand Slams mara mbili - Frenc Open mwaka 2011 na Australian Open mwaka huu....

 

10 years ago

BBCSwahili

Song astaafu soka ya kimataifa

Mchezaji wa Cameroon West Ham Alex Song amestaafu kucheza soka ya kimataifa baada ya kujumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani